U-menigusa juu ya Mfuko wa NSSF!Mie ni mwanachama wa NSSF lakini nauchukia mfuko huu kuliko kitu chochote Duniani!Mfuko huu ndio kati ya mifuko yenye fomula Mbaya na ya kinyonyaji ya kukokotoa mafao ya mwisho ya mkupuo unapozeeka,wastaafu wa NSSF Ndio wastaafu wanaopata mafao kiduchu wakati...
Una Cheti cha Masters ya Chuo Kikuu cha KATA lakini Huna Elimu ya Masters!Tanzania na Sudani kusini,Somalia,Mali,Gambia nk ni kundi la KIFO katika nchi masikini!Unapotoa mfano wa kujifananaisha na taifa la juzi na ambalo halina amani vita kiala siku basi,Uchambuzi wako ni sifuri!
Wana-Jamvi huyu...
Yaani akifanya Jitihada na Kutekeleza wajibu wake ndio amechoka kuishi dunia hii!Wewe ni mmoja wa Wahujimu uchumi na waharibifu pale Bandarini,ungekuwa jirani ningekuzaba Kibao!
Ushindwe na Ulegee!
We Ni Mwongo Mkubwa!Kama haukuwa na bidii ya Kusoma na ukapata MBA corp Mgt bila andiko hata UDSM umepata cheti kwa njia haramu!Hakuna chuo kikuu duniani kinachomsukuma mtu akasome darasani bali andiko na mengineyo vitamkaba!Hujasoma mzumbe,acha kudhalilisha MU!
Majimbo ambayo yachagua mtu ambae amestaafu kwa lazima kwa mujibu wa sheria wameliwa!Mie Jimbo la Kalenga nalijua na Mapungufu nayaona ila nikafikiri nipo peke yangu,nilipo ona wazo lako nikakukubali,Fanya mambo,unganisha vijana,waoneshe wanachokisa waoneshe njia mwisho wa siku watakuchagua!
Kalenga Haina Bahati ya Mbunge Bora Sijaona!Labda utakuwawewe,Nitakupa Kura yangu!Usingalie Pesa,Mungai Mbona ana Mapesa yuko Yapi!Nakutia Shime,Gombea
Mie Mkweche napatashida na kuhuzunishwa na vilio vya Rushwa ndani ya chaguzi za CCM!
Mwenyekiti Waoanalalamika,wazee wao wanalalamika,walioshindwa analalamika sasa jamani hii nchi inakwenda wapi!
Hawa walioshinda kwa mashaka,kulaumiwa na kutuhumiwa kwa rushwa,kesho utasikia wameteuliwa wakuu wa...
Hata mimi Mkweche nikiwa Rais naweza kutoa Elimu na Afya Buree kwa kutumia mapato yatakayotokana na uzimamizi madhubuti wa Bandari ya Dar es Salaam pekee!Wengi wa Viongozi tulionao wamefikia Ukomo wa Kufikiri zaidi ya walichokifanya!Ndio Mana kwao kila Kitu hakiwezekani!Mie nawasamee Buree!
Mkishindwaga Kesi hamkawii kusema Mahakama zina Shinikizwa na Hazipo Huru!Mkishinda hamsemi zipo kama zipo Huru!Mkweche siamini watu watu vyama vya siasa!Vyama vingi visivyo na Ukomo ni JANGA ktk nchi!Nchi imedumaa kwa ajili ya SIASA badala ya watu kuchapa Kazi na Kutumia fursa...
Ziwe Used(Kuukuu) wasije kujenga Jina kwa Kutuletea MIKWECHE!
Zikiwa Mpya Mkweche nitaomba kwa ajili ya Hospitali nayofanyia kazi!Ambulance yetu ni Mkweche!napenda mpya na si Makapi ya UK!
Mwalukosi,Tusahau Iringa kwetu!
Huna Jipya!
Zaidi ya Kuporomosha Matusi!Si Afadhali Ulimboka bado Yupo Hai!Je Wale Wanyonge waliokufa kwa ajili ya Kukosa Tiba mbona huwataji!Kutekwa kwa Ulimboka kutabaki kuwa Haramu!na Mgomo wa Madaktari aliouhitisha NAO ni Haramu!HAKUNA ALIEKUWA ANATETEA Mnyonge!Mtekaji ni Muuwaji na Kiongozi...
TOBA!Slaa Ana Heshima Gani!Kama anadhubutu Kutelekeza Mke na Kuishi na Mwanamke wa Mtu(Mnyonge) ambae Hajapewa Talaka!Mtu ambae hawezi kulinda ndoa yake na ya mwenzake Hana Heshima!
Mteteeeni ila Ukweli Upo Palepale Heshima ya Slaa Siioni!
Ma kweli kumtawala MTZ kiakiali ni Rahisi sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.