Leo Waziri Sita amepata kibano cha kutosha kutoka kwa Waziri wa Sheria wa Zanzibar. Mzanzibar huyo amemwambia Mh.Sitta kwamba ni mungo kutokana na kauli ya kusema kwamba Zanzibar imeshirikishwa vya kutosha katika kuandaa Mswada wa Katiba mpya. Swali linakuwa ni je, Sitta alikuwa hajui ukweli huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.