wanachuo wakipewa wosia wa baba, wanaweza kutulia, maana natafuta mtu awe busy na shule(kitu muhimu maishani) lakini pia awe na muda wa kutisha kuwa nami. Si muda wote but awe na muda walau mnakutana two times a week siyo mbaya.
rose mbona wanitisha. ukweli ni kuwa awe tayari kupima. Kama hayupo chuo basi awe amehitimu walau form six, awe na kazi, ila awe na muda wa kutosha. maana mie nahitaji mtu wenye muda wa kutosha. Maana mambo mazuri yanahitaji nafasi. Ndio my preference
Mimi ni mwanaume miaka 33. Natafuta rafiki wa kike awe mwanachuo, awe serious kwenye masomo na maisha kwa ujumbe. Lengo ni kuwa na urafiki wa kawaida, tufahamiane, tusaidiane. Huhusu sifa zangu, ani PM huko ndiko tutajadiliana zaidi sifa zake na za kwangu pia, tutaelezana ukweli ndipo tuone kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.