................Aidha kwa mujibu wa Matangazo yaliyorushwa moja kwa moja na kituo cha redio Uhuru, Sophia Simba alisikika akisema kuwa mvutano mkali ulikuwemo ndani kikao hicho na wajumbe, Adam Kimbisa, Dk Emmanuel Nchimbi na yeye mwenyewe hawakukubaliana na maamuzi ya kikao yaliyofikiwa.
Yeah! huo ndo ukweli wenyewe. Mi nadhani wakristo tuna viongozi legelege ambao hawajasoma alama za nyakati.
Haiwezekani wenzetu wanaendelea kuuwawa alafu sisi tunajipa matumaini kuwa mambo yatajirekebisha yenyewe. Huo ni ulemavu wa kupitiliza.
Bila kuchukua hatua, tutajikuta tumeshachelewa...
27.01.2013
ACG Consulting Ltd offers a one-month ‘Audit Training Program' which focuses on the basic aspects surrounding Financial Audit, Financial Reporting, International Accounting Standards (IAS) and International Auditing Standards (ISA). We are therefore pleased to announce that we...
Kama tumefikia Hatua Hii nadhani tumevuka mpaka.
Nadhani Kuwa ipo siku mtu atatakiwa kutakiwa kupeleka vyeti vya D.N.A kwenye interview. this is invasion of Privacy.
Assistant Researcher Job in Dar Es Salaam, Tanzania
Assistant Researcher
Consolatha Consultants ( Tz ) LTD.
Date Listed: Oct...
Kama tumefikia Hatua Hii nadhani tumevuka mpaka.
Nadhani Kuwa ipo siku mtu atatakiwa kutakiwa kupeleka vyeti vya D.N.A kwenye interview. this is invasion of Privacy.Assistant Researcher Job in Dar Es Salaam, Tanzania
Assistant Researcher
Consolatha Consultants ( Tz ) LTD.
Date Listed: Oct 8...
ina maana wandishi wa habari wakiuawa ndo wanajifanya kustuka. vipi kuhusu wanachi waliokwisha kuuawa kwenye mikusanyiko mingine?
tatizo ni aina ya waandishi tulio nao. si walikuwa wanajipendekeza leo wamegeuka.
Ama kweli wabongo ni wazembe wa kutisha, Umepewa link bado unalalamika, simu gani inaweza kufungua internet then ishinwe kufungua hata link? Hebu jaribuni kuwa na shukrani walau kidogo tu.
Mwaka 2007 Professor Watson wa DNA alisema kuwa ngozi nyeusi tuna mapungufu kwenye kufikiri tukampinga kuwa anatudhalilisha.
Ila msomi mmoja akahoji, "je matendo yetu yanafanana na tunavyotaka kusifiwa hata kwa tusiyofanya?". Lengo ni kuhoji matendo yetu kama kweli sisi waafrika ni watu wa...
Siyo suala la viti maalum tu, hata pia hawa mawaziri na idadi ya wizara.
Tanzania rais anajichagulia tu namba ya izara anazotaka kuwapa wenzake bila kuwa na utaratibu maalum. Mawaziri pia kuna haja ya kutokuwa wabunge kwa wakati mmoja ili kuepuka conflict of interest
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.