unataka pesa mingi tena kwa kelele mbele ya mkweo anaenda kutafuta hela anamchukua maana ukumbuke ushammbadilisha akili ulivomtolea nnje anamuangalia mwanao kama bidhaa
kabisa halafu hana adabu kumwambia mwanae sawa na kabati duuuuh! tatzo la watoto wa kibongo kuogopa maisha utaletewa mchumba kisa baba kasema, kama umemuelewa njemba wako amsha ndugu watakua wanao
Nenda kamuoe mchumbaako hyo ataendelea kuwa baba yako habadiliki...halafu anataka mtu tajiri je tajiri anakutaka ww? Ukimsikiza babako maisha yako yatakua magumu sana
tulia bulaza mchezo huu hautaki hasira...hawanaga madhara zaidi ya hayo unayoyaona...ukiona mtoto wako hana hao teens wenzie na mambo yake safi kaue mtu.
nataman niwe hyo jamaaa maana hawa watoto niliona nao naona shida nasubiri waniambie hvo hili nipumue maana naona wananiaribia utaratibu wangu wa maisha:mad:
Mrs Bishanga,
wa kwako hyomkufa nae angekua hakutaki siku nyingi sana angeshakuacha..........................na uzee huo utaenda kumchukua nan saa hzi;):D:D
kwani nani alikuita kuja kusoma post zake kama na wewe hazikuvutii halafu umefuata nini kwenye jukwaa la matusi na ushapewa notice kabsa :mad::mad::mad:
sikuizi tunafuraia maisha yako ya mwisho ukifa bulaza hadi leo kama hujui kama kila mtu atakufa unahuzunika nini sasa wakat wewe mwenyewe upo kwenye mstari....................sikuizi hakuna kulia tunashereke maisha yako ya mwishi ndio kauli mbiu yetu 🤣🤣🤣🤣🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.