Makosa ya madai hupelekwa CMA au mahakamani moja kwa moja, hapo alikuomba ili kutaka kukusaidia, coz anajua watanzania wengi hawaju sheria na wanaogopa polisiSiyo mbaya kwani hata wewe mwenyewe imeonesha haukuwa unafahamu sheria na huna uzoefu na polisi pia
Comment yangu
Mimi nadhani hisia zako ndio zinakufanya uone kama unadhalilishwa, kwani hakuwaalika ili kuwasaidia bali nijuavyo mimi huwa anafanya kama "Walemavi Day" kwa hiyo ni sawa kuwaonesha na kuweka kipindi maalum kwa sababu siyo kipindi rasim ITV ndio maana kinaitwa hivyo. Na lengo ni...
Hata waarabu walituchukua utumwani lakin sasa ni marafiki zetu,
Pili Adui wa babu yako siyo lazima na wewe awe adui yako, ndo maana marekan na uingereza walikuwa maadui sana lakin sasa ni mtu na hawara yake
Tatu Tanzania mmesaidiwa na Gaddafi si tu kwa kujenga miskiti na kutoa magari ya...
Hata waarabu walituchukua utumwani lakin sasa ni marafiki zetu,
Pili Adui wa babu yako siyo lazima na wewe awe adui yako, ndo maana marekan na uingereza walikuwa maadui sana lakin sasa ni mtu na hawara yake
Tatu Tanzania mmesaidiwa na Gaddafi si tu kwa kujenga miskiti na kutoa magari ya ikulu...
Tumeshajichanganya, tumeshajenga, acha wakae cha muhim watimize wajibu siyo kuiomba serikali kwa kitu ambacho ni haki yako. Ndio maana baadhi ya haki za raia viongozi huita msaada. Mfano ".... serikali imewasaidia sana wananchi wa Namanyerere kwa kuwapatia barabara ya kiwango cha lami....." Siyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.