riyan solanki
umejitahidi sana kilichobaki mfilisi kabisa huyo mwanamke, akichoka msaidie mrudishe home kwa kazi moja tu ya kulea watoto alafu kama vipi mrudishe chuo apate vyeti halali.
nikiwa katika pitapita zangu katika mitandao ya kijamii nimekutana na haya maneno yaliyo nifanya nipatwe na mshituko na kutamani kujua kwa undani kuhusu mahakama ya kadhi.
sijui nlichokisoma ni propaganda au ukweli sababu nimekua si mfuatiliaji sana wa ahadi za P M kwa waislamu ila najua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.