kwa utaratibu kazi za kibalozi zina utaratibu wa kipekee ktk kuajiri si kama ajira nyingine kwani its a noble job, na itarajiwa mtu anaepata kazi hizo atakua ana sifa stahili kwani linahusisha nchi zaidi ya moja hivyo unaweza kupeleka mtu mjinga akaharibu mahusiano ya nchi kiuchumi,kisiasa...
naamini Jk si kiongozi mbaya bali ana washauri wabaya. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni yapo mambo amefanya nchini ikiwemo kuwapeleka mafisadi mahakamani ambapo marais wote walishindwa na chuo kikuu Dodoma si mchezo! Big up Jk.
Thanks.
nilidhani labda CCM italeta mabadiliko makubwa na kuleta tija ktk ushindani wa kisiasa Tz na pia kuandaa mazingira ya 2015 lakini hakuna walichokifanya kabisaaa! Hatudanganyiki....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.