Ndugu zangu naomba kuuliza:
Ikiwa mtumishi wa umma mwenye mshahara mzuri tu imetokea amepata uteuzi wa Rais, let say kuwa Mkuu Wa Wilaya au Mkurugenzi au mkuu wa mkoa; je:-
1. Mshahara wake utakuwa uleule au utabalishwa?
2. Ikiwa utabalishwa, je mtu kama alikuwa anapokea 4M plus, halafu kawa...
Huyo ni binadamu aliyekamilika kama wewe. Kwa kuwa wewe una nyege na yeye pia anatamani kulalia ukuni kama wewe ufanyavyo.
Huwa mnawaona wasichana wa kazi hawana ku..ma na hawastahili kuwa na nyege na kutom. bwa hapo ndio wamama wengi mnapofeli.
Ok sawa nimekuelewa. Kwa kuwa dunia inazunguka huenda ukamuona mwenye sifa na uhitaji naomba usisite kumwambia kuwa kuna mwanaume yupo tayari kuwa nae kwa shida na raha.
Nilivyomaanisha ni kuwa kuna baadhi ya wanawake ambao wapo so decent and from their heart really they want a real man who is matured like them and they thought perhaps they may form a strong bond and establish a family au kuendeleza familia pamoja.
Lakini pia kuna wanawake wengine ni micharuko...
Natafuta mwanamke mtu mzima anayejielewa na ambaye anahitaji kuwa na mwanaume wa kutulia nae kimahusiano.
Nahitaji wazee wenzangu umri kuanzia miaka 30 au zaidi na mwisho ni miaka 45.
Ukiwa na mtoto / watoto sio tatizo kikubwa tuwe na mahusiano yaliyo bora na kushirikiana kimaisha.
Mengine...
Sifa zangu
1. Umri: late 30's.
2. Dini: Christian
3. Elimu: graduate
4. Kazi: muajiriwa
Sifa za mwanamke nimtakaye
1. Umri: 30 - 40, lakini akiwa chini ya 30 pia anakaribishwa.
2. Dini : Yeyote ile ikiwa tofauti na yangu tutajadili.
3. Elimu :Kidato cha 4 na kuendelea
4. Kazi: awe...
Namshauri asikubali kurubuniwa na jiwe ili arudi kuja kulitumikia taifa lake! Akikubali basiiii kwisha habari yake!
Atamteua kwa mbwembwe then atakuja kumtumbua na kuvunjiwa heshima aliyojijengea huko duniani!
Mungu ambariki sana na azidi kuwa na mafanikio zaidi.
Paskali uwezo wako wa kifikiri ni mdogo sana, huwa nakuangalia unavyojifanyaga kuchambua mada unazoweka humu na kujifnaya upo bias-free kumbe huna lolote!
Kwa kuwa wewe ni msukuma na yule bwana ni msukuma unajitahidi sana kumpamba yeye na serikali yake kwa kujifnya upo smart ili akuone akupe...
Nakubaliana na wewe mia kwa mia. Mwaka 2002 nnikiwa Ruvu jkt depo walichukuliwa vijana watatu kimya kimya later tukaambiwa hao si wenzenu tena wameula...wamepelekwa usalama wa taifa. Kila mmoja alishangaa walikuwa ni darasa la saba wote watatu.
Miaka mitano baadae nikiwa kijijini kwetu...
Alaaniniwe huyu Sizonje!
Yaani yeye mtu akigusa maslahi yake binafsi tu au maslahi ya wana chatoland....lazima mtu utumbuliwe tena kwa mbwembwe......
LAKINI hili jambo la msukuma mwenzake "DAUDI ALBERT BASHITE" yeye halioni na wala halisikiii....huyu jamaaa naamini kweli aliugua homa kali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.