Nahitaji kununua 4G mifi router, iwe na lock au haina lock haijalishi ila ikiwa ni huawei ITAPENDEZA ZAIDI, kwa alienayo anitafute 0717701778 tufanye biashara.
Nahitaji kununua 4G mifi router, iwe na lock au haina lock haijalishi ila ikiwa ni huawei ITAPENDEZA ZAIDI, kwa alienayo anitafute 0717701778 tufanye biashara.
ASNATE MKUU ILA ...
Hivi ukifanya masters by coursework haufanyi Research hata kidogo ama vipi? namaanisha ni kua unakaa class tu na mwisho unapiga final exam baass umemaliza ama vp??
Wakuu!
naomba KWA ANAELEWA anisaidie mchanganuo wa hii kitu Masters by "Thesis , coursework and dissertation" pale Open University of Tanzania.
Na vipi gahrama zao kwa DST (Distance Learnig), na huwa minimum wanaruhusu unasoma kwa miaka mingapi?
NB: KWA WANAOLEWA TU!
Habarini wakuu!!!
Hv India wana System km ya TCU - CAS ktk udahili/kuomba vyuo vikuu kwa pamoja???
...namaanisha wanaomba kwa kutumia CENTRAL ADMISSION SYSTEM ktm huku Tz?
je ni ipi Website yao? ...mwenye maelezo yoyote kuhusu uombaji wa chuo India naomba atujuze!
Wadau nauza nyumba yenye vyumba vitatu(master mbili na single moja) ukumbi,store, jiko dinning room na choo cha jumla (public). ipo kigamboni maeneo ya dege
ipo tyar kwa kuezekwa.
mawasiliano zaidi 0715272400/0717701778
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.