Kama ni mimba yake ya kwanza mtt atasurvive ,ila baada ya kujifungua ndani ya masaa 72 lzm mtt apimwe blood group na kama itakuwa ni + lazima mama achomwe hiyo sindano ili akibeba mimba ya pili isiharibike.Na kuhusu bei inaweza ikawa kweli hiyo laki nne mie nilichoma mwaka 2011 ilikuwa laki na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.