MKUU WA JESHI LA POLISI,
P.O. BOX,
DAR ES SALAAM ,
TANZANIA.
YAH; KIFO CHA MHESHIMIWA CHACHA ZAKAYO WANGWE MBUNGE WA TARIME.
Kutokana na ajali iliyotokea tarehe 28 Julai 2008 katika eneo la Pandambili Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma na kusababisha kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Tarime...
Kuna mpango wa kuruhusu mawakili ktk mahakama za mwanzo so kuna ulazima wa maPM kuwa atleast na LLB jambo lengine ni mabadiliko jaman hv mnadhani tuaendelea kuwa na maPM wenye DL mpaka lini?
Kwa level yako lazima uanze na certificate zen diploma zen degree. Kwa hapa dar vyuo vinavyotoa course ya law kwa level hiyo ni,
1. University of DSM
2. University of Bagamoyo
3. Tumaini.
4. Azania na
5. Kampala International University
Series.
1. 24hours.
2. Prison break.
3. Lost.
4. Jumong.
5. Traveller.
6. The Event.
Movies.
1. American soldiers.
2. Sometimes in April.
3. Kuch kuch Hotai.
4. The Big Boss ya Don Yen.
Ndugu naomba unieleweshe kidogo kuhusu wale marefferes ni kinahitajika kutoka kwao i mean ni barua za utambulisho au vp? Na vp kuhusu zle passport 2 ni za kwangu au za hawa marefferes! Plz
Nani anahusika na wizi huu unaoendeshwa na TIGO.
Kuna matangazo ya promotion mbalimbali za TIGO ambayo hayaendani kabisa na promotion zenyewe. Mfano ni ile ya nunua muda wa maongezi kupitia tigo pesa ili upate salio marambili na hii promition mpya iliyoanza tar 3 mwezi huu september ya nunua na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.