Mkutano wa majadiriano wa mwaka 2013 wa CRB UTAKAOFANYIKA LEO TAREHE 23-24 May 2013 ukumbi wa Mlimani City
Mgeni rasmi katika ufunguzi wa mkutano huu atakuwa Waziri mwenye dhamana ya Ujenzi Mh John Pombe Magufu!
Kwahuduma za UJENZI, UMEME na Teknolojia ya Mawasiliano waone:
YECCO (T) LTD...
UPDATES:
Mgeni rasmi ndio anaingia ni Naibu Waziri wa Ujenzi Eng: Gerson Lwenge
Msajili wa CRB anamkaribisha Naibu Waziri
N.Waziri:
Kwa kazi zinazogarimiwa na fedha ya ndani hasa za mfuko wa barabara serikali imeamua zifanywe na makandarasi wa ndani (wazalendo)
Zingatieni kuwa...
Eng Muhegi:
Kuanzia sasa ilikusajili mradi sio lazima uwe na kibali cha ujenzi,
Kibali utakileta ikiwa eneo unalojenga limepimwa na unacho,
Kila mradi unaoufanya njooni muusajili ili serikali ipate takwimu na itawasaidia nyinyi mkitaka kupanda madaraja yenu!
UPDATES:
Maadhimio ya Makandarasi:
Tunaomba CRB na OSHA wasimamie na kutoa elimu juu ya uzingatiaji wa sheria za ukandarasi kwa ujumla,
Makandarasi tufungue benki yetu itakayotusaidia kupata mikopo kirahisi na kwa riba ndogo zaidi!
Kwenye evaluation wawepo watu wa ppra ili haki ziwe...
UPDATES:
Baada ya mapumziko, sasa tunaendelea na msemaji ni Eng Stella Manyanya mkandarasi, mbunge, na mkuu wa mkoa!
Eng Manyanya:
Mimi nikiwa kama mkuu wa mkoa na mkandarasi ninawakaribisha mje kuwekeza mkoani Rukwa, tenda zipo na nitawasimamia ipasavyo makandarasi wa ndani,
Rukwa...
UPDATES:
Mwakilishi wa NBC ndugu. Dastan Kolimba anaanza kutoa mada:
Sisi maranyingi tumejikita ktk ushauri wa kitaalam wa kifedha na malipo yenu kuko kwenye sekta yenu!
Mtaji uutafutao uwe mahususi kwa mradi uliokusudiwa,
Makandarasi muondokane na utamaduni wa zamani,
Benki yetu ya...
Sasa anaanza kutoa mada mwakilishi wa benki ya biasha ya Afrika ACB Bibi Fatuma Abdala,
ACB hatuhitaji dhamana kumkopesha mkandarasi,
Utaratibu ni:
1)Class 1 atakopeshwa hadi milioni 700
2)Class 2 atakopeshwa hadi milioni 500
3)Class 3 atakopeshwa hadi milioni 300
4)Class 4-7...
Mabadiliko ya Ukumbi, leo tutakuwa makumbusho ya taifa jirani na chuo cha usimamizi wa Fedha (IFM)
Mkutano umeanza kwa salaam,
Hehee Eng Magesa ameanza kusalimia kisha akatania kwa kusema Kidumu chama Cha mapinduzi! Watu wakazomea hooooooo!
Mbunge wa Morogoro:
Kuna miradi ambayo ni Usalama wa Taifa haitakiwi kufanywa na wageni, mfano: Bank kuu, na maeneo nyeti ya serikali yafanywe na WAZALENDO tu kulinusuru taifa!
Mbunge wa Morogoro mashariki: Mimi kama mbunge na mkandarasi nitaishauri serikali kuwa miradi ya kuanzia 4.5bilioni ifanywe na wazalendo tu, ili kuhakikisha mabilioni ya fedha yanayochotwa na wageni kwenda nje!
Na kwenu ninyi makandarasi ni muhimu mhakikishe mnapeleka Annual Returns huko BRELA, hii itawasaidia hata mkihitaji mikopo ktk mabenki
UPDATES:
Makandarasi wengi wa ndani mnakumbana na matatizo makubwa sana hasa upataji wa tenda,
Mfano:
Unaweza kutenda tenda ya 1.2bilion lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.