uwezo wa CCM kufikiri umefikia kikomo na imepoteza hati miliki ya kuwaongoza watanzania, kwani Watanzania hawawezi kuongozwa na fikra mgando. Kitendo cha ccm kufikri kuwa matatizo yanaokizamisha chama chao ni captain Makamba and his friend na kuhamua kuwatosa ni fikra finyu. hawa wanajeshi...
ccm bado hawajajua walipo jikwaa wanadhani Gamba ni makamba and his friends ndo maana wakamtosa.Tatizo la ccm ni mfumo mzima wa chama si la mtu mmoja, kwani ccm imekuwa ikiamini siku zote kuwa pesa ndio njia pekee ya kuwapumbaza wananchi ndo maana imekuwa ikitumia pesa nyingi wakati wa uchaguzi...
Malumbano yamekuwa mengi ila la mhimu hapa sio kuhama ccm,lahimu ni kukaa kiharakati sisi CHADEMA Tuko kihrakati zaidi na sihamini kama nyie mnaotaka kuja huku mtaweza sababu CDM hatuna zengwe hapa kazi ni moja kulikomboa taifa na nyie ccm kazi nimoja kuliangamiza taifa kwahiyo mimi ningeshauri...
Of course mimi sioni kama kunatatizo LEMA akIfanya majukumu ya Zitto Kwani chadema wote ni makamanda sother this topic is invalid some times you should think before starting the topic because some of issues are boring we are busy for clitical issues for what is going on in our country but...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.