Kuna Sehemu unaweka Address yako ya Posta na Pia Kuna Sehemu unachagua Shipping agent unayetaka kama Ni Fedex au DHL kwahiyo wao mdo watakutafuta wakishapata mzigo wako
R!'^/_:Rr[b.+f}[8D?|
Hili lipo na Tunaliona Sana Vyuoni, kuna Jamaa Mmoja Alitaka Kwenda Kuspecializ Human Pathology(Awe Pathologist) na Akili zake si Za Nchi hii ila Aliangushwa Na Lecturer wetu.
Maana Yake hata Marks alizokuwa napata Atleast angeenda Master baadae PHD ila Kubaniana Sana Hii Nchi...
Mtu unafanya Research Za Kutosha Halafu Unapigwa Chini Hivi hivi na Watanzania Wenzako...
Wanafunzi wa Vyuoni wanabaniwa Marks ili wasiende Ku specilize Somo Fulani kisa Lecturer Hataki Watanzania Wenye Taaluma Kama Yake wawe wengi Nchini
R!'^/_:Rr[b.+f}[8D?|
Sasa sijui na yeye ni Haramu.. Labda mtoa mada anajua
Tatizo Binadam tunapenda Kuweka Sheria Wenyewe kwenye Vitabu halafu tunajifanya zimetoka kwa Mungu
Kwahiyo Mtoto ambaye Si wa Ndoa ni Haramu?... Kwahiyo Yesu Kristo ambaye Alizaliwa Na Maria Bila Kufunga Ndoa Ni haramu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu mrija wa Manii na Mrija Wa Mkojo ni Mmoja... Mkojo huaribu Manii kwahiyo Mwili Umejipa Mechanism ya Kiaanze kimoja Kwanza Kabla Ya Kingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na Mwanamke Ambaye Si Bikra ujue unakula mali siyo yako.. Jamaa Akiitaka muda wowote Anachukua..
Ukweli mchungu... Wanawake hawana Moyo mgumu wa kukataa jamaa aliyepita naye
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.