Hawa jamaa jana walikuja home maeneo ya science walikuwa wanaulizia site kwa ajil ya kuweka mnara wao wa simu so nadhani wapo really....
ila hawajui kingereza hata zaid dereva wao ndio mkariman wao...
Habari za hapa wanaJF!
Hivi kuna madhara yoyote ktk mwili iwapo utaamua kunyoa vinyweleo kwa kutumia wembe au hair remover?
Pia kuna gene yoyote ambayo inahusika katika urithi wa vinyweleo kuwa vingi katika mwili?
Aina gani ya hair remover ambayo ipo safely na mwili wa binadamu?
Natanguliza...
Siku njema huanza alfajir,
lakin kwa maelezo yako
nadhan ucku umeshaingia!
Na samaki mkunje angali mbichi,
hvyo kwa semi hizo mbili yatosha kukwambia umechelewa!
Tafuta mwengne mwenye kujua thamani ya utu na mwenye mapenzi ya dhati kwako!
Kusaidiana kwenye mapenzi ndio msingi wa penzi la...
Ahsante sana ila kwa level niliyopo naweza hata kuwa na mke na ndio maana nahtaji mwenza ingawa sijui ni wapi nitampata mwenye mapenzi ya kweli!
Hata hivyo nashukuru kwa ushauri wako.
Nashndwa kuamini kama kweli ananipenda,
siku ambayo simu yangu haipatikani huwa nina kesi kubwa ya kujibu lakin mm ninapokuta call waiting tena saa8 ucku naambia ni rafiki tu tena wa jinsia tofauti!
Mbaya zaid anasema kama mtu anampenda aende kwao nami bado nasoma,
pia kaniambia J'3 kuna...
Kweli sasa najihisi nipo nyumbani,
ahsante sana kwa chai!
Iman na ukarimu ndio hulka yetu waungwana ambayo tumerithi kutoka kwa wazee wetu,
hvyo
TUIDUMISHE idumu daima nasi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.