Ila kweli asee.... mimi nilokuwa najiuliza hiki kimbunga kunapopita kinapita kwenye visiwa mbalimbal kama ila hatukusikia maafa kwenye kisiwa hata kimoja. Inawezekana hakukuwa na kimbunga.
Huyu jamaa wa Vanila international ni tapeli though ni mzur katika marketing. Kabla ya hapo alikuwa na kampuni anaiita greenhouseinteenational.ltd.
Sasa hivi kaja na mbinu nyingine. Jamaa ni opportunist mzuri sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.