Kesi ya Prof. Mahalu – Zengwe jipya jikoni
Kuna habari kwamba upo uwezekano mkubwa upande wa mashitaka ukaumbuka kisawasawa kutokana na affidavit ya His Excellency BWM, our ex President kuwa ni ushahidi tosha wa kufutilia mbali kesi husika na kwa hivyo:
Kesi yenyewe ni uongo uliosukwa...
Nakushauri utofautishe siasa za maji taka na rule of law and order. Cha msingi hapa kwamba one is presumed innocent until proven otherwise. Furthermore, kale ka-concept, viz: natural justice... right to be heard na zaidi ya hapo kujitetea.
Kama utapenda, soma contents za Power of Attorney...
kama hajabadilisha leo hii: fungua nkasinde@yahoo.com na nkasinde@hotmail.com
password: REMOVED BY ADMINISTRATORS (this' not fair)
muulize naye mwenyewe akanushe
Wapishi wa zengwe ni pamoja na hawa hapa:
1: Grace Abdiel Shangali - Kwa kutegemea atawekewa kifua ili auziwe nyumba ya serikali, huyu ame-facilitate upishi wa Zengwe kwa kushirikiana na jamaa hawa hapa chini. Sasa hivi yupo MFAIC, acting Director wa Idara moja hapa. Amengoja sana apewe...
I am hitting the ground while running.
Ndugu zangu salamu zangu hizi hapa. Hebu someni attachments hizi muone nani mwongo.
Regards
na hii pia:
Re: Yanayozungumzwa Ministry of Foreign and International Affairs (MFAIC) na mitaani kuhusu FITNA zilizofanywa dhidi ya Professor Mahalu na kesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.