Rekebisha kichwa cha habari kwanza!Mwanakikjiji si mchambuzi wa kweli!Ni mtu wa kufikirika,hajiamini anatumia majina ya uongo.Hivyo hawezi kuwa mchambuzi!Mchambuzi ni mtu kama Kibanda na Marehehemu Chacha Wangwe,hawa wengine ni waCDM.R.I.P Wangwe.
Hivi wewe bado upo uraiani?Hujaungana na mkurugenzi wako?Vipi utashiriki au utakuwa unaulizia UPDATE nyuma ya key board wakati wananchi wasio na hatia wakiumia?Familia yako itashiriki?Mkiti nasikia ameenda DUBAI!
Masaa ishirini na nne kitu gani?Shk Ponda miezi mitano sasa yupo gerezani!Na ukiangalia uzito wa kosa la Lwakatare na la Ponda la Lwakatare ni kosa Kubwa mno.Kumuachia itahatarisha usalama wa wanahabari!
Utashiriki kwenye hayo maandamano au utaandamana nyuma ya key board na kuulizia update?Shiriki wewe na familia yako.Msitake kuwaangamiza watoto wa wenzenu nyinyi mnabaki kwenye jamii forums,au mtaandamana kwenye jf?
Yangekuwa maandamano ya Waislamu,mishipa ingewasimama lakini kwa kuwa maandamano ni ya CDM.............Nimesema hakuna maandao kesho wala 25 marchi 2013.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.