Unajifanya kipofu hujui maandamano yamezaa nini hukuona maandamano yalivyoanza tu tukaona wakuu wa nchi wanaingilia bei za vyakula ikiwa ni pamoja na kushusha bei ya sukari kuzuia nafaka zisiuzwe nje kama mahindi kwa Dar mkuu wa mkoa aliamuru wafanyabiashara wa unga wa sembe wapunguze bei baada...
Kikongwe kabaki kumumunya maneno tu kwisha habari yake ona anavyopayuka tu kwa kukosa hoja FF acha ubishi kama ngozi ya masaburi hata upake cream vipi haiwi nyeupe.
Hivi hii Kahama ina nini?wabunge wa shinyanga wajitahidi kufanya mikutano ili kuliteka na jimbo hili la mheshimiwa Lembeli ingawaje ni kubwa sana lakini kwa vuguvugu hili Kahama isipitwe kabisa nikuweka kambi kabisa.
Elewa tu amebobea katika falsafa(philosoph)sasa uliza falsafa ni nini tukikuchambulia ndipo utabro kijana hii ni smart course na inakufanya uwe na uwezo mpana sana wa kufikiri(deep and broad thinking capacity)kwa kweli course hii ni ngumu lakini ukiifahamu ni tamu sana na mara nyingi hutolewa...
Ieleweke ndani ya CDM tuaangalia sifa za mtu anauwezo wa kuiongoza CDM hatuangalii kaongoza muda gani ieleweke hivyo kwahiyo hata Mbowe kama itadhibitika kabisa kabisa uwezo bado anao wa kutosha kabisa hasa kuidhibiti CCM isipate mwanya wa kuivuruga CDM kama ilivyo sasa maana huo ndio moyo wa...
Wakuu naombeni msaada wa kupata program ya video converter nataka kuconvert nyimbo za video mp4 kwenda DVD au kama kuna mtu ana jua free link yoyote yenye program hizo anitupie hapa jamvini shukrani wakuu.
Kwhiyo unataka kutuambia Mwalimu angekuwa mkuu wa nchi sasa hivi mambo yange kuwa hivihivi yalivyo sasa kwa kuwa mazingira yapo tofauti kwa kiasi kikubwa na mifumo ipo tofauti hebu fafanua mkuu, nina uhakika hasa hili suala la uwajibikaji lingekuwepo tu hebu fikiri leo hii ni wangapi wanajua...
WanaIgunga hawana namna ya kukwepa lawama hizi kwana wanaijua fika CCM tabia zake na kama wangekuwa hawawataki kweli ccm kwa namna yoyote ile wasinge ruhusu ccm kushinda mosi kwakuinyima kabisa kura lakini pili kudhibiti kabisa uchakachuaji matokeo na mwisho kuondoa kabisa amani kwa...
Raha sana yaani hata njaa sisikii hapa Igunga nitakula baada ya kutangazwa mshindi wetu wa Chadema wakati magamba watakapo ondoka na aibu zao patamu hapo wakuu.
Wasanii tu hawa walipanga wao wenyewe wamejifanyia usanii wao wenyewe wasifikili wametukomoa sisi tunapanga mashambulizi hukuhuku home TZ kwanza mapinduzi huwa yanafanywa na wananchi wenyewe waliopo nyumbani(libya,misri,tunisia) ileleweke gamba letu sisiwananchi ni CCM wote hata wao wenyewe ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.