Search results

  1. M

    Simba kujitoa Ligi kuu, yasema kuonewa sasa basi.

    Naona YANGA imewashika pabaya sa mnaanza kutafuta visingizio vya kujisafisha kwa wanachama na mashabiki wenu ili kufunika madudu na mauvundo yenu mnayoyafanya...eniew kila lakheri myama uelekeako kwenye hiyo ligi unayoijua...kuna timu nyingi sana mfano pamba zinataman japo nafasi ya kucheza ligi...
  2. M

    Yondan, Twite Mali ya Yanga ..... TFF Yawaidhinisha

    kama ni hivyo bac na we tueleze sheria ip inaweza kumuidhinisha kuwa mchezaji wa simba
  3. M

    Sasa ndo nagundua kwanini Sofapaka waliitaka Yanga....

    mkuu acha kuweweseka swala mlikuwa mnanyukwa tatu tatu tena na vitimu dhaifu kweli cjui maharage alikuwa anawadanganyilishia toto kuwaletea vitimu vibonde kwenye ligi ya kenya ili mkivifunga mapovu yawatoke kwa wingi na vichwa viwajae badala yake mambo yanageuka matokeo yake mnaaibishwa nyumbani...
  4. M

    Simba SC bado gonjwa gonjwa!

    next kuwafukuza ni keita na ochieng mmm! Lakin ninashaka tukiwafukuza hawa nani ataziba mapengo yao maana yondan na keita bado hakijaeleweka halafuu! Kitukingine ndo hivyo dilisha la usajiri linafungwa cjui tufanyeje sasa hii nayo ni pasua kichwa!!! Labda na sie tumwige jirani tumtimue huyu...
  5. M

    So sad!

    Anselm labda cha kuwasaidia hawa jamaa inabidi watu kama nyie mjitolee kugombea uenyekiti pale msimbazi uchukue nafasi ya "msema hovyo hovyo aka Maharage" maana inaonekana jahazi linamshinda na linaelekea kuzama na jamaa anavyojua kuutumia mdomo wake atawapoza mashabiki wake kwa kuwaambia...
  6. M

    So sad!

    Anselm labda cha kuwasaidia hawa jamaa inabidi watu kama nyie mjitolee kugombea uenyekiti pale msimbazi uchukue nafasi ya "msema hovyo hovyo aka Maharage" maana inaonekana jahazi linamshinda na linaelekea kuzama na jamaa anavyojua kuutumia mdomo wake atawapoza mashabiki wake kwa kuwaambia...
  7. M

    Sasa ndo nagundua kwanini Sofapaka waliitaka Yanga....

    Te! Teh! Teh!... Uwiiiiii mbavu zangu mie dah! Anselm acha hizo bwana some tyme uwe unatumia na tafsida sa mambo gan bwana unawapa jamaa za 'uso' kihivyo aka kavukavu? Kwan ulikua hujui jamaa walikuwa wanatafuta gate collection money ya kuwalipa azam pesa yao iliobaki kwa cjui redondo but in the...
  8. M

    Twite atua yanga, mamia wamlaki, simba hawakuonekana

    maneno ya mkosaji na nikukumbushe tu sikuzote mfa maji hakosi kutapatapa ndo nyie sasa....RAGE OYEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!@@@
  9. M

    Chezea yanga weye!!!!!

    Mungu saidia iwe hivihivi na kwenye ligi isije kuwa kama Man U kwenye friendly wanaperform poa kwenye ligi wanaanza na kipigo
  10. M

    Kali nyingine ya Viongozi wetu....

    masuke hebu njoo na hoja ya kutetea na sio kutukanatukana tu au na we ndo walewale majuha{viongozi wa simba} hapa sio swala la kuona makosa ya simba tu anachojaribu ku address bwana Anselm ni kweli tupu kama na wewe unaona kunamakosa upande wa pili anzisha topic taja makosa watu wachangie kwa...
  11. M

    Sitaki kupenda tena..

    Thubutuuu!!!!...nani kakuambia hutopenda tena labda uwe umeondolewa kakikojoleo...
  12. M

    Emmanuel okwi na simba sport club

    mkuu sio kuendeleza uwanja kumbuka hata dalili za lori za mchanga hazijaanza kuonekana au ulikuwa huna taarifa?
  13. M

    TFF wametumia kigezo gani kuongeza muda wa usajili hadi Aug 15!

    sasa huo ni umaskin wa mawazo hakuna point uliyoongea hapo zote ni pumba kinacho kusumbua ni unazi wa kifala acha wivu usio na maana
  14. M

    Simba SSC- Uongozi unacheza na akili zenu

    Jamani hebu waacheni hawa jamaa naona wanapita tu kuchungulia bila kuacha comments zozote kwa aibu .,mhurumien maha rage
  15. M

    Wasichana wanapenda kununa jaman!

    Mnunulie chips dume atafurah tu
  16. M

    Why some women can’t keep their legs together!?

    Kitendawili.....(tega)...
  17. M

    Stars/Msumbiji Live update!

    Wenzetu kenya wameshinda 1-0
  18. M

    Kwa wasichana tu plzzzzzzzzz

    Inategemea na msichana mwenyewe kama anaonesha direction and if she's serious with me but sitamwambia live kwamba ntampigania but she would see in my actions to her, but if its just a friend with benefit hata sithubutu incase mambo yakiharibika.., that are mine
  19. M

    Waziri ananitaka kimapenzi

    sio amchune, bal wachunane waziri gan atakayekubal kuhonga gar then aingizwe mitin kwan amekua bint yake ampe gari la burebure kama zawadi ya birthday, its means atoe gari then achakachue...
Back
Top Bottom