Ndio ila utaona mechi 2/3 kati ya 8... hi ni sawa sawa na kusema ata Azam pia anaonyesha EPL... maana anaonyesha mechi moja kwa week.
So kwa hiyo Canal ya 40k vs 44k ya DSTV... Canal unaona mechi zaidi pia unaona Europa, wakati DSTV haionyeshi kabisa hiyo Europa.
Mbona kama wewe ndo unaleta upotoshaji, hayo unayolalamika jamaa hajasema hata moja. kwani mdau kasema hii ni mbadala wa DSTV? Kwani kadai kuwa inaonyehsa hizo international matches? Nahisi watu weneyewe wanaozitaka hizi ndo hawana elewa vya kutosha. so unapaswa mtu kuuliza vyote ili ushairiwe...
Mkuu hii inategemeana na speed ya internet yako, kwa mfano kipande cha dk 3 labda kina mb 1, na kama internet yako iko vzuri kitadownload hiki kpande kwa sekunde kadhaa, Haimanishi kwa kuwa kipande ni cha dakika 3 ndo lazima ichukue dakika 3 kudownload.
Mkuu kitendo kinachofanyika hapo, ni inasave ile video kwa kuidownload kwenye simu yako, kisha utaweza kuiplay kupitia simu yako na kutokuhitaji internet "data" lakini bila kuwa na internet au "kuwasha data" hichi kitendo hakiwezi kufanyika ndo maana kwenye steps zako umesema step ya kwanza ni...
TITLE : Tazama video za youtube bila kuwasha data ( working 100%)
Hatua ya Kwanza : Washa Data.
Duuu.. kazi ipo haha, kiku kingine pia mtu akikuambia siku zote kuwa hii ni 100%.. huwa sio kweli.
Duh naona hatuelewani.. Simu haina tatizo ila haikujengewa kushika 4G ya Tigo
Halotel na Airtel hawana 4G... Kama unataka kuprove ni rahisi tu.. Piga 100 na kuwauliza.
Haina tatizo.. Hii ni kwa upande wa 4G kwa bongo ina support mitandao hiyo ya juu..
Bongo kuna 4G katika mitandao hii
Vodacom 4G - Supported
Tigo 4G - Not Supported
TTCL 4G - Supported
Zantel 4G - Supported
Smile 4G - Not Supported
Smart 4G - Not Supported
Airtel na Halotel hawana 4G.. Na hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.