Hah hah hah! Mkuu nimesituka ndo maana nimewasilisha humu kwenye watu wanaojitambua.
Utakumbuka ujumbe ulosomeka 'Piga cm mimi mwalimu mwanao kaanguka.....'? Hao weshanipiga sh 60,000/=.
Namba hii ya TTCL 0738 488 207 huwa inanitumia ujumbe huu "Hongera! Umezawadiwa Tsh 7,000,000.00 Milioni Saba kutoka HALOTEL Kampuni No. 1155 Piga Simu TCRA No. 0782 771 957 ili kujaziwa fomu yako Ahsante!".
Ujumbe huu mara ya mwanzo ulinisitua na kuwa na hamu ya kuongea nae huyo jamaa wa TCRA...
History of PALESTINIAN STATE:
1. Before Israel, there was a British mandate, not a Palestinian state
2. Before the British Majndate, there was the Ottoman Empire, not a Palestinian state.
3. Before the Ottoman Empire, there was the Islamic state of the Mamluks of Egypt, not a Palestinian...
Kwa hiyo ni 'google' tu kumbe! Maana pana kundi moja nilitupia 'clip' ya Kiinglishi basi mara moja jamaa mmoja ajaitupia kwa Kiswahlli.
Tokea siku hiyo sijamuona tena kwenye kundi licha ya kutupia 'clips' nyingi tu za Kiinglishi.
Tatizo la mahaba ya vilabu vya Simba na Yanga ndo unapandikizwa kiasi ukisema ukweli kuwa hayana afya kwa futiboli la nchi yetu unaambiwa mnafiki.
Angalia, hata kwenye chombo cha kutunga sheria pana Usimba na Uyanga.
Mechi za saa nane mchana ni mwiko Simba au Yanga kucheza. Juzi palikuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.