yani hapo magu ndio anapoboa...hapendi kukosolewa..anajionaga kama mungu hakosei...watu wanatoa maoni anasema wanaropoka...anapenda kusifiwa tu....halafu anahubiri uzalendo mxieuu...
Hakuna kitu...bashite mwizi wa vyeti kamashindwa...unazungumzia vyeti feki gani?! Treni la umeme lipo wapi? Tunadai milioni 50 kila kijiji asijisahaulishe....
Kwani uongo makonda sio bashite?!kwan ni uongo bashite hakuvamia studio za clouds kisa kipindi cha udaku?!kwani ni uongo makonda hatumii magari ya aliowatuhumu ni wauza madawa ya kulevya?!
Kwani uongo makonda sio bashite?!kwan ni uongo bashite hakuvamia studio za clouds kisa kipindi cha udaku?!kwani ni uongo makonda hatumii magari ya aliowatuhumu ni wauza madawa ya kulevya?!
Kwa hali ilipofikia tunahitaji kina gwajima 10..mkuu wa mkoa anapata zero, anaiba vyeti vya Paulo, anavamia ofisi na jeshi, anatumia Mali za watu anaowatuhumu wanauza dawa za kulevya... halafu anaambiwa piga kazi..hizo ndio kazi za mkulu...viongoz wa dini wapo tu
Kumbe mwenyekiti wa mkoa,wilaya na kinana. Sasa shangaa haya yanapigiwa kelele na tanzania nzima...kuna jeshi lina tabia ya kuvamia ofisi za watu sio la sirro ila la bashite hii ndio kazi yake..mwanaume mzima anaogopa kukosolewa ooh mara malaika ashuke afunge mitandao
Lile ni kama roboti halina ubongo, yani hajui hata kujiongeza anadhani watakuwa maraisi milele...bora Magu mzee, sasa yeye kijana anaharibu maisha yake bure...
Povu linatoka ndio si umeleta omo na maji..kama kafichwa si mu mfichue au ukae kimya kama hujui bashite mkubwa wewe kazi kuiba vyeti tu na kuteka watu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.