Hata huko Misri kwenyewe kuna waarabu wameota kuwa Al Ahly watapigwa.
Hizo ni ndoto tu, subiri dk90. Natumaini Yanga itasonga raundi ya pili.
Mikia leo mshughulike na Prison mambo ya Yanga waachie Yanga wenyewe
Ufoo anaficha sababu ya Mushi kuchukua uamuzi huo mgumu kwani naamini Mushi hakuwa kichaa au mtu aliyerukwa akili.
Sitaona ajabu kama yeye Ufoo ndo alishika bastola na kumuua Mushi alafu akatoka nje kuomba msaada.
Yaonyesha Ufoo ana roho ngumu sana
Kama kitu huna hakina nacho sio lazima uripoti hapa.
Uliza vizuri wakatoliki wa Arusha upate uhakika haya maandamano yalifanyika lini na lengo lake ilikuwa ni nini, una shusha heshima ya JF.
Hii project ni nzuri sana. After 100 years ndo mradi utakamilika kwa tz, kama ingekuwa Rwanda au Kenya unge malizika mara moja. Kwa tz hapana. Kila kitu usanii.
Kitu cha msingi ni kujiuliza nani mlegwa kwa hii miradi?
Pole sana 1800.
Tatizo lako wala sio kubwa sana. Tembelea hospital yenye mahabara mzuri ukapime mkojo. Pima mkojo wa asubuhi. Wakati ukichukua sample ya mkojo jitahidi chukua wa mwisho.
Pia uwe na mazoea ya kunywa maji mengi
Mikataba yote iliyosainiwa leo ama ni ya kupewa msaada wa mkopo au uchimbaji wa raw materials(coal, chuma).
Kwa ujumla mikataba yote wachina watafaidika kwa zaidi ya 70%!
Sijui wachumi wetu wanafaida gani kwa hii nchi, aibu tupu.
Kibaya zaidi serikali ya China imebana upatikanaji wa visa kwa...
Hujalazimishwa kupanda Fast jet, uelewe kuwa PW wameshusha gharama sababu ya uwepo wa Fastjet!
Huduma kama za Fastjet zipo pia kwa Arabian air, nauli yao ni cheap x3 chini ya emirates kwa safari ya UAE.
Uchaguzi ni wako sio kulaumu kitu ulichoandikiwa kabla ya kukata ticket
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.