Jamani wana wa jamii forums naomba kupata mchango wenu juu ya hili. Mara nyingi sana nimekuwa nikifuatilia utekelezaji unaofanywa na serikali kufuatia ripoti za tafiti mbalimbali kuhusu ufumbuzi wa matatizo yanayokwaza maendeleo ya taifa katika nyanja tofauti. Lakini kwa hakika kinachoendelea ni...
Jamani wana wa jamii forums naomba kupata mchango wenu juu ya hili. Mara nyingi sana nimekuwa nikifuatilia utekelezaji unaofanywa na serikali kufuatia ripoti za tafiti mbalimbali kuhusu ufumbuzi wa matatizo yanayokwaza maendeleo ya taifa katika nyanja tofauti. Lakini kwa hakika kinachoendelea ni...
Mi nafikiri makosa ya usalama barabarani hayatamalizwa na kiwango cha faini inayolipwa, la muhimu ni kung'oa kabisa mzizi wa rushwa uliotapakaa kwa watendaji wetu ili wasimamie vema majukumu yao. Hii ya faini ni kujitengenezea tu maeneo ya kushibisha matumbo...traffic police wanachekelea sasa!
Inawezekana ndo njia yenyewe ya kuyafaidi matunda ya vyeo vyao. Mantiki ya kuuziana nyumba na baadae kuishi hotelini kwa gharama iko wapi. Kweli serikali haina uchungu na jasho la wanyonge wa nchi hii. Siamini kabisa kama hao mawaziri wapo kwa ajili ya masilahi ya wengi ila kwa ajili ya kuifaidi...
Naam,huu ni ujumbe tosha kwa jamii kwamba tumechoka kuchezewa akili na watu wachache ambao walijidai wajanja katika nchi hii.Binafsi nilishuhudia tukio hilo pale 'Block T'.Nafikiri huyo dogo anahitaji kufunzwa jinsi ya kusoma alama za nyakati.
Hii sasa tuseme ujasiriamali umehamia kwenye vikombe au ndo ubunifu wenyewe na uwekezaji kwenye bongo za watu?
KUOTESHWA sasa ndo imekuwa 'password' ya kila anayetaka kuwachezea watu akili!
Mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema ametangaza kampeni mpya ya kuleta mabadiliko katika jamii.
Kampeni hiyo aliyoipa jina la 'CHANGE ON FINGERS' inalenga kuwafanya vijana kushiriki kuleta mabadiliko katika jamii kupitia vyombo vya mawasiliano kama vile simu na kompyuta,ambapo zaidi ya...
Ndugu zangu naomba tufikiri 'critically'.Suala hapa si kumtetea Gaddafi isipokuwa ni kupinga kulaani vikali uvamizi wa mataifa ya magharibi nchini Libya.Ieleweke tu kwamba hawa wazungu lao kubwa ni uchu wa rasilimali mafuta katika Libya.Gaddafi kaonekana kikwazo kwa wao kupenyeza mirija yao ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.