Msaada wa hali na mali unahitajika kuna mama mmoja anamtafuta kaka yake ambaye ni mdogo wake aitwae THOMAS MWAKITALU huyo mdogo wake alizaliwa mwaka 1991 katika wilaya Serengeti kilipokuwa kituo cha kazi cha baba yake.Baba yake huyo alikuwa askari polisi aliyekuwa anaitwa BENARD SAMWELI...
Msaada wa hali na mali unahitajika kuna mama mmoja anamtafuta kaka yake ambaye ni mdogo wake aitwae THOMAS MWAKITALU huyo mdogo wake alizaliwa mwaka 1991 katika wilaya Serengeti kilipokuwa kituo cha kazi cha baba yake.
Baba yake huyo alikuwa askari polisi aliyekuwa anaitwa BENARD SAMWELI...
Heshima iwe kwenu ninahitaji kupaka rangi kakiberiti kangu sasa ktk pitapita mitandaoni nikitafuta rangi gani itakayotuliza mapepo yangu nikakutana na rangi hiyo hapo pichani Sasa tatizo limekuja nitamuelekezaje fundi maana fundi kaniuliza una namba ya hiyo rangi?? nikakwama nikatafuta app...
Wazoefu wa magari naombeni uzoefu wenu juu ya haka kagari upande wa matengenezo yake kama upatikanaji wa spea zake na ustahimilivu pia.Ni nini cha kuzingatia hasa maana nahitaji kununua used kwa katakakonipendezea toka kwa mtu atakayekuwa nako.
Wakuu heshima iwe kwenu natafuta kagari hako tajwa hapo juu huenda kakawa kametelekezwa kutokana na model yake kenye bei rafiki kabisa kama kanavyoonekana hapo pichani
Jamani naulizia ushuru wa TRA kwa pikipiki inayoagizwa kutoka nje ukoje na pia kwa hapa bongo ni wapi wanakouza pikipiki used zilizo katika hali nzuri kutoka Japan?
Wenyeji wa humu heshima iwe kwenu.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni ujumbe niliotumiwa na mpenzi wangu nimeshindwa nimjibu nini.Hivyo kupitia hapa naombeni ujumbe maridhawa nitakaompatia kutoka kwenu ambao mmekwishakutana na hili tukio la siku ya kuzaliwa ya utamu wako.Mimi sina mihela...
Heshima iwe kwenu madakitari.
Naombeni msaada wenu mwanangu mwenye umri wa miaka mitano meno yanapukutika mdomoni mithili ya watoto wanaokula kwa wingi biskuti na pipi sasa sijui tatizo ni nini.Nitumie dawa gani kumpatia mwanangu ili kuutibu ugongwa huo???
Hashima iwe kwenu madaktari mdau wa kike anaomba msaada afanyeje ili kuzuia tatizo alilonalo la kuingia kwenye siku zake mfululizo baada ya kutumia uzazi wa kutumia kijiti tokea amefungwa anasema ni miezi minne sasa zilikuwa zinatoka kidogokidogo ila kuanzia wiki mbili zilizopita tatizo hilo...
" Nishauri kitu, kuna mtu nimeachana nae ila ananifanyia fujo nakosa amani, anataka nimlipe hela zote alizokuwa ananipatia za matumizi nifanyeje, au nikienda polisi nitapata msaada?"
MSAADA WA MUHIMU SANA UNAHITAJIKA
Ndugu zangu heshima iwe kwenu,
Ninachotaka kuwaelezeni hapa ni stori ndefu kidogo kuhusu maisha ya mama mmoja niliyekutana naye huko Serengeti nilipokuwa huko kikazi aitwaye MKENA BIHINYAGI anayewatafuta ndugu zake kwa muda mrefu pasipo na mafanikio.
Kwa...
Nimeitoa sehemu.
HADITHI YANGU KWA WABUNGE WOTE
Hapo zamani za kale palikuwepo na nchi fulani katika nchi hiyo kulikuwa na makabila mengi kati ya hayo makabila kulikuwepo na makabira mawili makubwa.Kabila moja lilikuwa linaitwa CHANGANYIKENI na kabila la pili lilikuwa linaitwa BURUDIKENI...
Wakuu heshima na iwe kwenu.
Awali nilileta kwenu ombi langu la kupata app kwenye simu yangu ya kumix sauti(tangazo) nashukuru sana kwa msaada wenu app mliyonipatia ya Crossdj inafanya vizuri hadi sasa.Leo pia nimekuja kwenu kwa yeyote anayeifahamu app ya kutengeneza tangazo wimbo au muziki ukiwa...
Wana wa jf heshima iwe kwenu.
Nimeamua kuuleta uzi huu kwenu ili kutufumbua macho kutoka ktk biashara hii ninayoiita mimi ni ya kufikirika ya MALI WALIZOFICHA WAJERUMANI.
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikiisikia habari hii pia biashara hii ambayo sina uthibitisho wa moja kwa moja kama kweli...
Wakuu heshima iwe kwenu
niko hapa kuomba msaada kwa anayefahamu app kwenye simu za android inayotumika kutengeneza matangazo yaani kuchanganya sauti kama vile matangazo kama ilivyo virtual dj
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.