Wadau, Natumaini Nyote mu wazima wa afya.
Nahitaji vifaranga aina ya kuroiler aged from 1 day to 1 month....au mwenye network anipatia mawasiliano ya mwenyenavyo me napatikana Mwanza!! 0754542300
mawasilianoooo mkuu.....mnapatikana wap? even simple advertisement shida kuinyooosha.... hii inatupa bad image ya hii real estate by portrait like ni wababaishashaji.....
Niko Dar es salaam kwa muda wa
miezi mitatu nilikuwa nahitaji
apartment or chumba ambacho ni
cha selfcontained kiwe na kitanda
+ godoro, budget yangu ni Tsh
300,000/= kwa muda wote wa miezi
3. Napendelea kiwe kinapatikana
maeneo ya magomeni mapipa
kwelekea mjini ya kariakoo or
posta...
Niko Dar es salaam kwa muda wa miezi mitatu nilikuwa nahitaji apartment or chumba ambacho ni cha selfcontained kiwe na kitanda + godoro, budget yangu ni Tsh 300,000/= kwa muda wote wa miezi 3. Napendelea kiwe kinapatikana maeneo ya magomeni mapipa kwelekea mjini ya kariakoo or posta...
Me ni miongoni mwa watu tuliopiga interview pale TASAF makao makuu mwaka jana tareh 18 september, Na nimeshataarifiwa kwamba nmefaulu katika usaili huo na Tarehe 1 july ndo natakiwa kureport kwa ajili ya kuanza mzigo.
Kwanza napenda nimshukuru sana Mungu kwa fursa hii ya pekee, kwani ile...
Wana JF,
Ninaandaa mpango biashara wa ufugaji wa kuku, ninahitaji kuwa Incubator kwa ajili ya utotolesha wa vifaranga kuanzia 1000-2000.
Sina uzoefu wa kutosha na hizi incubator kwa hiyo na msaada ili kufahamu ni incubator ya aina gani ni bora zaidi na good userfriend katika umeme, Na bei yake...
Wana JF,
Ninaandaa mpango biashara wa ufugaji wa kuku, ninahitaji kuwa Incubator kwa ajili ya utotolesha wa vifaranga kuanzia 1000-2000! Sina uzoefu wa kutosha na hizi incubator kwa hiyo na msaada ili kufahamu ni incubator ya aina gan ni bora zaidi na good userfriend katika umeme, Na bei yake...
Ndugu zangu ndo maana nikaweka sifa ambazo ninazo, sasa kama imefikia hatuwa mtu mwenye bachala anaweza fanya biashara ya kuuza maji....! Inatia walakin fikra za watu wanakurupuka na kuandika kazi kama ya ulinzi, kuuza maji!
Hebu tuwe watu makini if you have nothing value to add just pita...
Nimekupata balozi!
nauhakika wa kuweza kufanya kazi katika NGO yoyote isipokuwa zinajihusisha na mambo ya afya, usimamiz wa biashara, bank, Saccos na kwenye taasis mbali mbali ambazo mtu aliyesomea uchumi anaqualify!
G'taxi na franswamj
Nashukuruni sana kwa mawazo yenu, Nategemea jukwaa hili ni la kupeana mawazo hasa hasa katika kundi la vijana tunaoathilika na hili janga la ukosefu wa ajira. Sio kwamba hatuna mawazo ya biashara swala linakuja ni mtaji wap pa kuanzia.
Ndugu Mamana
tunaomba utupe mrejesho (Update) za maendeleo ya greenhouse ya mfano pale nyumbani kwako, haswa haswa katika picha. Pia Mafanikio pamoja na changamoto zilizojitokeza kama zipo ili tujifunze zaid kabla ya kuingia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.