Search results

  1. 4

    Nani ana msisimko zaidi?

    Du,hapo kweli tuwaachie wazoefu.
  2. 4

    Ukiwinda Mwanamke muda mrefu mara nyingi huishia kuwa Disappointed

    Du! kazi kweli kweli,wanyakyusa wanasema mbombo ngafu.
  3. 4

    umeshawahi sikia hii

    Imani tu hiyo,wengi huwa wanasema hivyo,hata wanaume pia wanahusishwa na tuhuma hizo.ni vizuri kumwamini MUNGU ktk kila jambo.
  4. 4

    CCTV chumba cha housegirl

    Hana imani na mumewe huyo,maana mijanaume mingine haina haya wala haijui vibaya.
  5. 4

    Unapovizia kufumania na kuua basi jua imekula kwako!

    Hata ukifumania huna haja ya kuua,maisha bado yatazidi kuendelea tu.
  6. 4

    Arudisheje hisia kwa mumewe? ...Msaada tafadhali

    Aachane na huyo mwanaume wa pembeni na arudishe penzi kwa mumewe.ni ngumu lakini inabidi iwe hivyo ili kuendeleza ndoa yake halali.
  7. 4

    To Marry a Divorcee?

    Kwani talaka ni ulemavu jamani?
  8. 4

    Ulitumaini uzuri wako

    good message!
  9. 4

    !!!!!!!Mapenzi!!!!!!!

    Mapenzi hayatakiwi kuendekezwa.kazi kweli kweli.
  10. 4

    Msaada Pls nahisi kuchanganyikiwa

    Fuata moyo wako.
  11. 4

    Mtenda Akijitenda...!

    Haya mambo yapo kabisa,kuna watu ni wachoyo na roho mbaya sana,sasa huyo mwanamke,roho yake mbaya ilikula kwake.somo hilo.
  12. 4

    Hana imani na mimi.

    Unataka kuaminiwa wakati huaminiki?unafurahisha sana.
  13. 4

    Ni haki kupenda!?

    Hana haki ya kuwa na mpenzi nje.Maadam aliamua kuingia kwenye ndoa na huyo mtu.ampende au asimpende.
  14. 4

    Kuachana au kutengana??

    Inategemea aina ya ndoa waliyofunga,kama ni ya kikristo haina kuachana.bado ni mke tu huyo.
  15. 4

    Naomba ushauri, nimwache au niendelee

    Na wewe amua kuokoka,halafu utajua kama hiyo sababu anayokupa ni yakweli ama la!huwezi kujua sheria za walokole ukiwa nje ya ulokole.
  16. 4

    Wanafunzi wa kike waua mwalimu wao... Adaiwa kutaka kumbaka mwenzao

    Ilikuwaje huyo dada apeleke barua nyumbani kwa mkufunzi tena usiku?na je,hao wanafunzi waliompiga wana uhakika gani kama kweli alitaka kumbaka?na je hawakuona njia nyingine ya kutumia zaidi ya kumpiga?hapo pana mushkhel kidogo?
  17. 4

    Wanawake na imani za kishirikina katika mapenzi

    Wengi huamini kuwa kuna dawa za mapenzi.na katika kufanya hivi wengine wamewasababishia wenzi wao matatizo vikiwemo vifo.mimi nawashauri wanawake wanaotumia ushirikina kwenye mapenzi waache mara moja.kama kuna matatizo kwenye ndoa zao wamuombe MWENYEZI MUNGU atawasidia.
  18. 4

    Mke na Mume ni ndugu au Marafiki?

    Mke na mume ni Ndugu,na wanafanya mapenzi kwa kuwa udugu wao umeunganishwa na mapenzi.ni marafiki,tena mke ni mama yako kwa upande mwingine,na mume ni baba yako kwa upande mwingine.yaani unapaswa kumuheshim mumeo au mkeo km mzazi wako.na unapaswa kufurahi nae km rafiki yako,na ku du nae kama...
Back
Top Bottom