Aliyeshinda anaitwa Joseph Nkundi alikuwa mwenyekiti wa halmashauri. Machemli mwaka huu atakufa na madeni maana alitaka alipe madeni....Nyandinga wa CCM kakonda kama mbwa wa miaka ya njaa. Anatia huruma
Wengi wasiojua ndo wanaoropoka humu ndani. You real don't know what is going on. Idara ya Wanyamapori inajulikana kwa kuchotea pesa zake na zinatumika na CCM kwenye uchaguzi. Every one know that. Prof. Songorwa a man of integrity cannot allow that. I know him, he has taught me and his...
Kiwanja kiko Kibamba ni nusu eka, hakijapimwa ni kizuri kwa ujenzi wa nyumba na kuna umeme karibu na maji ya bomba kama utahitaji kutumia hizo huduma. Muuzaji ni mimi mmliki wa kiwanja na sababu ya kuuza nimepata kiwanja kingine kikubwa zaidi ya hicho na eneo ninalotaka. Kinauzwa million 10 ila...
Wakuu natafuta vyumba viwili yaani chumba na sitting room vinavyoingiliana kuwe na jiko na choo pia. Kuwe na umeme na maji na usalama ule ukirudi jioni jamaa wajasiri wa mali hawakufanyi wewe MKUKUTA WAO. Uwezo wangu ni TZS 100,000 at maximum 150,000 kwa mwezi na payment iwe kwa miezi sita...
Mimi nashangaa sana hiyo serikali ya Kikwete inayowakumbatia hawa watu...waacheni waende wanakokutaka. Ni ukweli usiopingika kuwa Tanzania bara wala sisi hatuna maslai sana na Muungano huo na ni wenyewe wanzanzibari wanaotuibia huku. Kwanza kabisa kuna wengi chungu nzima huku bara wana mashamba...
Si hilo jeshi la polisi lilisema kuwa halifanyi kazi kwa kushinikizwa.....sasa wewe mbona unawashinikiza sasa? je unalolisema hapa kuwa polisi kamateni (amri hii), kuna tofauti na alivyosema a holder of Doctor of Philosophy Slaa kuwa polisi kamateni waaharifu na wakata mapanga watumishi wa...
Jamani aliye karibu nae amwambie atukumbuke na sisi wala halua, tende na ngamia. Yeye anazunguka makanisani tu pia na sisi tuna kura. Na kura zetu huwa zina nguvu sana....
Baada ya juhudi za CCM za kutaka kudhihirisha kuwa wanataka mtu asiyejua huko wanakolipeleka taifa ni kwenye upambavu na hatari kama alivyosema mwalimu kwenye hii hotuba fupi, leo hii wamefanikiwa kummvua LEMA uongozi. Tunaweza kusema kuwa mahakama imetenada haki kwa wote washiriki wa kesi hiyo...
Hajui kimeru...kule igunga alienda kuongea kisukuma ndo ilikuwa kazi yake maana hilo daraja wala halipo.....huyu Mwigulu au Mbinguni naona anadhihirisha kule ndani ya CCM kumejaa watu wanautumia masaburi
wewe si ulisema kwenye mjadawala wa mkosamali na kingereza (this week in perspective) kuwa unauza nyanya kariakoo na huna haja ya kujua kingereza ulichokuwa unamcheka Dr. Slaa kuwa hajui? Leo umesoma arusha na chuo? au siku hizi tanzania kuna vyuo vya kusomea kuuza nyanya kariakoo? nina shaka na...
Hawana haja na hizo kazi maana wizi wanaofanya unawapa maslai ya kutosha sana...uliwahi kusoma na mhindi chouni hapo bongo? waarabu nadhani ni wachache sana tunapigana nao vikumbo huko masecondary na vyuo vikuu...wao biashara na kuiba. mi nadhani hawastahili hata kuwa wenyeviti wa mtaa
Yaani kweli kuna watu wanaochoka kufikri...awe waziri kwani yeye ni mbunge? au mabadiliko ya katiba huko Tanzania tayari? Labda kama ni kuwa mkurugenzi kama walivyozoea. Ila nadhani ana haja ya kupumzika maana keshakuwa mzee tayari wala hana mashiko na mikikimikiki ya TZ
Kampuni ya kuuza vifaa vya kijeshi ya BAE Systems itatoa takriban £29.5m kwa miradi ya elimu nchini humo kufuatia makubaliano na Taasisi ya Kupambana na ufisadi ya Uingereza (SFO). BAE ilipigwa faini ya £500,000 mwaka 2010 kwa kushindwa kutunza rekodi zake za malipo iliyofanya kwa mshauri...
Kwani kipi hujaelewa? kapewa burden of proof aprove kama yuko mentally fit, otherwise he/she is no mentally fit. Kalugha ka wengine haka kana mambo kaka Majangata, sometimes kanahitaji kufikiria kwanza kabla ya kukatumia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.