Nmefarijika sana baada ya kuona hii post imefika hapa!nlijtahd sana kutafuta njia ya kupost hii k2 especially to the geita side ila nikafell simply bcz natumia simu,nmefurahi kwa sababu dunia sasa inaelewa nn kinachoendelea maeneo ya migodi,wakazi wanaonekana hapo wa geita,nmeanza kuwaona tangu...
All da best std 7,miaka hyo m nlnunua soksi mpya na rula pamoja na shati,duh,kazeni madogo mungu yuko upande wenu,msome mje ku2saidia kufukuza magamba yote bongo.
Abdala hasan nimependa ulvyochambua habar hii ya kutengeza,tofaut na hapo,mwandishi anasema kuwa kamanda wa polisi mkoa alisema yuko safarini na hajui kuhusu hlo tukio labda mwandishi awasiliane na mkuu wa upelelezi,at da same time mwandishi anasema kamanda wa polisi alithibisha kukamatwa kwa...
Cjawahi kutumia net ya airtel,kwani iko fasta kaka,km iko fasta,nahama tigo leoleo,kwan haiwezekan nikijiumga mwenyewe nakatwa 450 kwa siku mbili,km kuna crdt kwenye 4n yangu km 500 na kwendelea wakiniunga automatically inakuwa ni siku moja,kama airtel wako fasta tujuzane ili niwahi kusajili...
Wakuu m niko geita,hii inshu co ya leo wala jana,wananchi wa wilaya hii wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya kigaidi kiasi na uongozi wa GGM kwa kusaidiana na ungozi wa serikali hasa OCD na MKUU WA WILAYA,hawa watu kuna kila aina ya sababu za kuwahc wanapokea mlungula kutokana na majibu na dharau...
M niko huku kweli yametokea na co mara ya kwanza wana jamii,wananchi na wakazi wengi wa mji wa Geita katika kuhangaika kutafuta rizk katika maeneo ya mgodi huo wamekuwa wakitendewa vitendo vya kikatili na walinzi na polisi wa jeshi letu wamekuwa wakiviunga mkono vitendo hvyo na sometimes...
Wadau m npo geita now,huyu jamaa n mlevi sana,na kuwadhalilisha wanawake kwake ilikuwa n kitendo cha kawaida bar hasa ambassador club sehemu ambapo alikuwa anapenda sana kunywa kabla hajawa mbunge,alitumia kibuli chake hicho kuwachoma vidole wanawake mbele za watu kisa tu kajenga public toilet...
Atakae ipata ani2mie kwenye email yangu moris.daudi@yahoo.com,coz wengne 2ko mbali na dsm,afu waungwana nielewesheni jinsi ya kupost cjaelewa plz.thanx
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.