Ni kweli matamshi ya kiongozi wa nchi yana nguvu sana, ya kujenga au kubomoa. Kiongozi wa nchi anapashwa kupima kwa makini maneno yote anayoyasema na siyo kuzungumza lugha za mitaani. Tangu tupate uhuru tumesikia matamshi mengi ya viongozi ambayo yamekwamisha nchi. Kwa mfano dhana ya umasikini...
Nilifadhaishwa sana na ajali iliyosababisha vifo vya wanamuziki 13 wa taarabu hivi karibuni. Kuna haja ya watanzania kuhimasishwa ili wachukuwe madaraka wanapoona dereva anendesha hovyo. Habari za tukio hilo la kusikitisha zilimwonyesha mama moja abiria ambaye alisema kwamba dereva alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.