nape na mwezie chiligati wamepata ajali
wakiwa jukwaani wakiwa iringa naona
mapacha watatu wanataka kuwaonyesha
kuwa hawako peke yao
chanzo cha habari ni redio cloud fm
kwakweli ukijua maana yashitambala kwalugha
yao hutakiwi kuliza zaidi ninawasiwasi
uwanasheria wake kwani ni mnafiki
mpenda fedha bila kujali ubinadamu
amekuwa akitudanganya wanambeya vijijini
afadhali ameenda kwa mafisadi wenzie hatumtaki
na wala hatujutii kuondoka kwake na siopigo kwetu
ni chama ambacho hakina uzalendo
ni chama ambacho kinaubinafi mkuba
kinachojali matajili kama akina RA
ambacho kinatumia rasilimai za tz vibaya
maana masikini ndiye anayelipa kodi
tajili halipi lazima kitachukiwa tu
nikweli wa wazenji wanauelewa zaidi ya
watu wabara ambao wamekalia unafiki bila
hata yakufikiria tz ya kesho maana
hata watu ccm wanaukataa mswada huu wakati
bara ccm wanaukubali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.