Chooni panachukuliwa kama mlango wa kuzimu na kuna mengi ya giza hufanyika chooni na kufanikiwa sana...... Ni jambo la kushangaza mno kama ukimkuta mtu ameinama chooni anachungulia bila sababu maalum... Huyo hakosi kuwa mchawi #mshana Jr mengi ya Giza hufanyika chooni mshana tuokoe Ni yapi na...
Mshana Jr kwanini choo unakiita Ni lango la kuzimu na nini hasa wale wanaochungullia chooni wanaongea Nini .mfano una kikao na mtu anakwambia naenda chooni akirudi Ni chooni tu au kina mengine
LESIRIAMU,
Kiutumishi kina maadili ya utumishi TAKUKURU wakipitia huku watawabana wengi. Pili kuna ngazi za mishahara za watumishi zimenainishwa kwenye circular. Ajabu utakuta Mtumishi wa Umma anashindana na mfanyabiashara.
Gari kubwa injini Ina 4200cc.3500cc 2400cc hawana hofu tinted ya...
Mada nzuri ila tenganisha Mila .na uchumi wa kisayansi .mfano masuala ya mila waachie wenyewe .mdharau kwao Ni mjinga .jikite kuchambua tumekwama wapi kisayansi hatuna hata pikipiki iliyotengenezwa Tanzania .tumekwama wapi .,tufanye Nini wewe mtoa mada umekuja na mbinu gani .za kututoa hapa...
Ili uwe na tija kwa taifa lako lazima ukope au kinyume chake , ili Kodi zipatikane kuendesha nchi .Kama hudaiwi jitafakari umuhimu wako kwa taifa na nchi yako .nchi zote huendeshwa kwa Kodi .
Mleta mada benki hupata faida pindi mfanyabiashara anapo kopa .Kama wewe hudaiwi tafsiri yake huchangii chochote kwa uchumi wa nchi yako .Kama unadaiwa una tija kwa taifa wewe Ni mtu muhimu kwa benk na taifa pia .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.