Tanesco kanda ya kinondon inatekeleza mladi wa umeme Bunju katika viwanja vipya vya mladi.
Lakini kinachoendelea huko ni sinema tupu. Magari yakija na nguzo kumi yanarudi na tano, haifahamiki zinakoelekea. Kufunga nyao mitaani mpaka utoe kitu kidogo kuanzia laki kwenda juu.
Pamoja na kwamba...
Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia mh Pinda akichukuwa hatua ya kuwasimamisha kazi mganga mkuu wa serikali na Katib mkuu wa wizara ya afya. Katika hali zote mamlaka hayo hana kisheria kwani yeye sio mamlaka. iliyowateua. Bila shaka ndio maana amesema atamwomba naibu katibu mkuu kiongozi awaandikie...
Habari hizi wakuu ziko confirmed (matokeo ya awali Pending to be announced by ZEC) niko Pemba na ndio narudi kujipumzisha baada ya kuzungukia maeneo yote na kukusanya matokeo. Kwa upande wa Unguja, mpaka sasa CUF wameshinda Jimbo la Mji Mkongwe Uwakilishi(confirmed) pia kuna habari za kwamba...
Defining Obama as a black candidate by Clintons, rather than a candidate who happens to be black, with an inspiring message of hope and reconciliation between the races is so contemptuous. It is not some thing one expects from a Democrat, especially a former President and his candidate wife...
Folks, remember even when Mandela was fighting against apartheid, he was labelled as ''terrorist Number one'' and a threat to the entire universe. Can Mwkjj be exceptional??
Can the parliament undo what it has already done and implemented? Is this matter not overtaken by event?. can 'kamati ya kanuni' overrule what was decided by the whole sitting National Assembly? is 'uamuzi wa spika' which can be reviewed by Kamati ya kanuni under the cited kanuni same as uamuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.