Search results

  1. reuby

    Mwelekeo wa TZ yetu

    kama matatizo ya ufisadi hayatashughulikiwa kwa dhati, kukatika umeme kusikokoma, utawala bora (haki itendeke katika maamuzi kv uchaguzi, usalama wa raia..) kama havitashughulikiwa kwa dhati; na wananchi wasipofanya kazi kwa bidii zaidi tutarudia maisha ya karne ya 18 ifikapo 2015. tuache...
  2. reuby

    Mpenzi unaempenda anapokusumbua unafanyaje?

    mapenzi ni kuvumiliana. it is nature vitu viwili au zaidi zikiwekwa/vikikaa pamoja msuguano ni lazima. weka kilainisho kidogo kupunguza msuguano lakini msuguano ni palepale. Hivyo hivyo katika mapenzi msuguano ni kawaida inahitaji management.
  3. reuby

    Msichana

    kaka, una kadi ya atm?
  4. reuby

    Voda na ofa ya mwezi mtukufu!

    Sielewi kwa nini ofa hiyo inahusu sh 1000 za pamoja tu na siyo sh 1000 za m-pesa.
  5. reuby

    Ni nani huyu - Mwanamboka?

    majina kufanana siyo lazima wafanane kiuchumi. unayetaka kumjua ni wa wapi, jinsia, umri au resume yake kwa ufupi ili tutofautishe
  6. reuby

    Malawi moto moto...Tanzania shwari...au sababu umeme umekatika?

    nchi yetu ikiwa katika karaha kubwa ya giza kutokana na mgao wa umeme, mwaka huu tunaadhimisha miaka 50 tangu tupate uhuru. kwa kujipongenza kumaliza miaka 50 wakati karaha hiyo inaongezeka tujue tunakokwenda ndiko siko. ni vema tutafakari tumekosea wapi tukashindwa kutatua tatizo hilo mapema...
  7. reuby

    Kwa WANAUME

    sidhani kuna tatizo la kupata sms 20 hata 30, after all maisha ni kujaribu. kama hutaki wengine wanataka.
  8. reuby

    Rajabu Kiravu

    ingekuwa vizuri ukadokeza issue yenyewe inayotatiza ili tuchangie
  9. reuby

    How to use JamiiForums effectively

    nimefurahi kujiunga na mtandao huu muhimu kwangu. nitaweza kuwasiliana na wenzagu kujifunza na kufundisha, kustarehe na kujenga uwezo
Back
Top Bottom