Pumba kabisa za huyo muumini pascal, mbona ameshanadi wagombea kibao majukwani na wakaishia kuangukia pua, amemchezea jk sasa hiki chuma cha pua subiri
nimeona twitter, chadema ikiendeleaa kutegemea ma idiot kama ww yericko kutwa kutukana mitaandaoni kitamfia mbowe acheni siasa za mitandaoni nendeni kwa wanachi, issue ya kuchaguliwa magufuri tayari ilishafanyika wakati akigombea urais hivyo itakapofika miaka kumi ya urais ataingia mwingine kama...
upeo wako ni mdogo sana. hapa issue sio mikataba issue ni declaration ya wealth ya container na accia anajivua mwenye huu msala ni SGS sasa ndio itokee independent commision ikujumuisha SGS, ACCASIA, GOVT, Bunge wachunguze tena tujue ukweli
umeona enheee hiyo ndo dawa ya wabongo, akina bashe na rostam, kalamaghi, iptl, richimond, nbc, ttcl, wakati wanaiibia hii nchi akina bashe walikuwa wapi?
hivi utekaji na wizi wa mali za watanzania kipi kibaya, kwanza utekaji ni ww mwenyewe kihere here chako na matusi kwa serikali na ww bashe mku... wa bibi yako mlikuwa mnashirikiana na akina rostam kuiibia hii nchi sasa hakuna madili mnatafuta pa kuchomokea rudi kwenu somalia kashike mtutu...
Mkuu kunatakiwa signature 20% ya wabunge (396) wasign ambao ni kama 79 hivi then liwakilishwe kwa spika siku 90 kabla ya kikao cha bunge alafu spika aunde jopo la watu nane mwenyekiti akiwa jaji mkuu kumchunguza rais wrong doing then likimaliza limpelekee spika na spika a table mezani ijadiliwe...
kaka kutokuwa na imani na waziri mkuu ataunda serikali nyingine labda useme kutokuwa na imani na rais ambapo jopo litaundwa kumchunguza rais na kabla hilo jopo halijamaliza kazi atakuwa amevunja bunge ndipo uchaguzi utarudiwa. Nyerere alishawaambia kuwa kwa katiba hii mkipata rais dikteta mtakoma
hahaaaaaaaaa mkuu kila anaepanda jukwani ni makombora kwa Makonda huku wakijifanya kumshauri rais amshughulikie makonda na wakizidi kusema eti hajatumwa na mkulu haaaaa wabongo bana na ingali walimsikia ikulu akiwaponda hata wabunge ila nao wakaenda kucheza mziki wa makonda, kidogo zitto ndo...
Kaka gwajima mbona hamsemi magufuli na wakati magu kamponda kupeleka kwanya polisi, kama yy kidume angemjibu rais kwa nini anakimbilia kwa makonda? nimekuelewa mkuu na wanao isoma number ni ccm waliozoea vya dezo wacha wanyooshwe, hawa akina rizwan walitaka kuifanya nchi ya kifalme sasa nao...
kaka katika vitu umenena ni hili la Ndugai, leo wapinzani wanamuona anabusara haaaa wakati ndio kalikuwa kakorofi ile mbaya, hivyo hivyo keshokutwa Tulia ataonekana anabusara kuliko naibu wake atakae kuja
Msukuma ni akili ndogo sana ambae anasikia maneno huku na kule na kuyaropoka bila kujua effect yake, alitumika kwa Lowassa na alitegemea shavu kwa magu na kalikosa maana magu sio wa maji taka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.