Manabii waliokuwepo,walikuja kwa ajili ya kuutambulisha ulimwengu juu ya uwepo wa Mungu.Walimaliza kazi yao na walirudi kwenye ufalme wa Mungu.Hakuna tena unabii mwingine.Hawa manabii wote wa sasa ni wapiga dili tu,wala siyo wachamungu.Ukiwafuatilia mambo yao utapatwa mshangao wa hali ya juu.
Wana jamii,naomba mnisaidie.Hivi ukishakusanya hela nyingi sana baadaye inakuwaje?
Kwa hakika huwezi kutembelea gari mbili kwa wakati mmoja,kulala nyumba mbil kwa wakati mmoja,wala kula sahani mbili kwa wakati mmoja.
Kama haya madudu ya mwanamama Blandina ni ya kweli,basi tuombe mwongozo wa...
Ndugu yangu sina ushauri wa moja kwa moja,ila nitakusimulia machache.
Mimi ni tabibu ktk kitengo cha UKIMWI.Baadhi ya wagonjwa wangu wamekwenda kwa Babu.Kwa imani kubwa waliyokuwa nayo kwa babu huyu,wengine waliamua kuacha dawa za ARVs,hawa wamefariki watano kwenye clinic yangu,wengine wote HIV...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.