Mkuu type muongozo hii barua umeipata ofisi ya bodi ya Dar au Dodoma,
Nasi tunatarajia kumalizia hili deni karibuni ni vyema tukajua utaratibu wa kupata barua.
Natanguliza shukrani
@Ncherry1 bora wewe ndugu yangu umelipia mwezi wa 10 wenzako tumelipia mwezi wa 9 mwanzoni kabisa hadi leo hakuna dalili ya kufungiwa umeme huko mwisho wa reli, jibu ni hilo hilo kila mara hakuna mita, ila kinachoshangaza wengine wanafungiwa sijui mita zinatoka wapi.
Pole sana mkuu, jitahidi kupunguza vyakula vya wanga na sukari.
Unaweza kumtafuta dokta Boaz mkumbo na tiba yake ya sayansi ya mapishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Abdulwahid hizi bei za LED na smart ya Hisense naona zinachanganya kidogo jaribu kuziweka sana au hua zinabadilika badilika.
Isije kua napanga bajeti ya smart najikuta napata LED mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu, hapa ngoja nifanye tathmini ili nijue bajeti inasimama wapi.
Ila napenda kujua kusafirisha hadi Kigoma itagharimu kiasi gani ili nipate hesabu kamaili.
Na utaratibu wa kupata mzigo unakuaje?
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Abdulwahid nikusumbue kidogo kiongozi, nataka unipe bei ya LED na smart tv za nch 32 na 40 nifanye tathmini mkuu.
Natanguliza shukrani mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mwambie mkeo amsome sana dr boaz mkumbo yupo sana facebook na instagram, kuhusu mirija kuziba naona anawekaga shuhuda za watu kupata ujauzito ingawa uzito wa mkeo upo sawa.
Pole sana mkuu ndio changamoto kila jaribu lina mlango wa kutokea uwezi pewa mtihani usiohumudu, ndio maana umeshayazoea maisha hayo.
Dr Boaz anapatikana sana youtube, instagram na facebook. Kwa sababu ya tatizo la kusikia nashauri mfatilie sana facebook au instagram
Pia ana blog yake.
Pole sana mkuu kweli dunianu kuna changamoto sana kuna binadamu hawajua kabla ujafa haujsumbika.
Embu jaribu kupitiapitia makala za Dr Boaz mkumbo kuhusu athari za sukari na wanga zinaweza kukusaidia pia labda mfumo wa mwili haupo sawa sehemu.
Mkuu Mshana Jr endapo mtu amekosa chumvi ya mawe au mabonge kama unavyoita, je akitumia chumvi ya kusaga hizi wanaziuza kwa kupima kina mama yaani ylile ya mawe iliyosagwa inafaa.?
Pole sana mkuu, kama wadau walivyosema hapo juu jaribu kuangakia na mfumo wako wa kula.
Unaweza kumtafuta Dr Boaz Mkumbo kwa kumfatilia youtube au fb ili upate muongozo wa lishe.
Hapa kwa lishe ya Dr Boaz Mkumbo hata mimi naunga mkono. Ajaribu kumfatilia ili ajifunze kubalance vyakula ikiwezekana anunuue kabisa kitabu au kujiunga na program zake.
Ikiwezekana amtafute kabisa kwa ushauri.
Wakuu mimi nauliza huu utaratibu wa NACTE.
Mwanafunzi aliyemaliza form four na kupangiwa chuo na NACTE na anataka kuhama chuo na kozi aliyopangiwa, wanasema lazima kwanza athibitishe ndio aombe kuhama chuo/course.
Je huyu mwanafunzi aliyethibisha ikitokea kakosa chuo/ kozi anayotaka kuhamia...
Wanabodi nawasalimu,
Ndugu zangu napenda kuuliza utaratibu wa kuomba kuhama chuo kwa mtu aliyepangiwa chuo na NACTE.
Kwa mujibu wa maelezo ya NACTE kama ilivyoelezwa hapa chini:
Na tangazo likaendelea kujieleza kama hapo chini:
Maswali la Msingi:
1. Je mwanafunzi anayetakiwa kuthibithia...
Mkuu nsanzu ni vizuri ukifafanua ili wengine tujifunze umeitumiaje katika kuweka mazingira mazuri ya kibiashara.?
Na pia kuufanya mwili na usingizi kua mzuri ?
Ushuhuda wako utakua msada kwa wengi hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.