Ninashindwa kuelewa haya mambo yanayotokea katika SECTOR MUHIMU kabisa ya elimu yana lengo gani.
Hivi karibuni Wizara ilitangaza alama mpya na mpaka ikafika kipindi kukawa na maelewano hafifu na hadi ikaundwa tume kuchunguza mambo haya, lakini nimeshangaa sana alama mpya zilizotolewa hata...
Kwani alichokiongea Nyambari kinaewekana ama ameongea kwa vile amepata fulsa hiyo? Hii kweli inawezekana Kiswahili kutumika kufundishia katika nyanja zote za elimu? Kwa mtazamo wangu hatua hiyo bado hatujaifikia kwa sababu kiswahili hakina msamiati wa kutosha.
Tatizo sio Wizara, Ebu tujaribu pia kuangalia Serikali huenda ndio chanzo cha haya yote. Siamini kama Jairo peke yake ndiye aliyehusika katika hili. JK ajaribu tu pia kuangalia Wizara nzima kwa ujumla, na kama akiiona Wizara iko safi, basi ajiangalie mwenyewe pia huenda ndicho chanzo cha yote
Ninaungana na familia zote zilizofikwa na msiba huu kuwapa pole kwa msiba. Lakini pia ninaweza kusema, Uzembe wa madreva ndio chanzo kikubwa cha ajali. Mimi niombe tu serikali ichukuwe hatua kali za kisheria kwa aliyesababisha ajali hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.