You must be sick.Unafikiri TEC ni sawa na lile baraza kuu na taasisi zake? TEC viko vichwa vyenye elimu ya hali ya juu ya kuweza kuchambua na kupambanua mambo mazito,hakuna kuhongwa ubwabwa pale.Tenauwe na adabu na TEC manake ina mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi hii katika elimuna...
Ulitegemea mtu kama Komba angeongea nini? Huyu jamaa huwa hana la maana Bungeni, anafikiri kwa kutumia tumbo na mara nying akiongea utafikiri ni kuku aliyekatwa kichwa. Hopeless
Wanaogopa kwa sababu ya roho ya uuaji mliyonayo si vinginevyo.Mafundisho yenu ni kuua na si huruma.Wakristu ni wastahimilivu na wavumilivu na hii ni kwasababu ya elimu na malezi mazuri.Mtoto wa Kiislamu akizaliwa anaambiwa na wazazi Mkristu ni kafiri, akifika madrasa anaambiwa hivyo hivyo...
Mleta uzi asante kwa kuwa na upeo wa kutuwekea katika janvi leetu tujadili. Kama unavyojiuliza "Sijui kwa nini Tanzania ni Maskini". Nina imani kila Mtanzania mzalendo anajiuliza swali hili la muhimu.Mimi ni mdau wa utalii na niko humo kwenye utalii katika sekta binafsi.Tuna kila sababu ya...
Wewe usalama utakuwa nao hayo yakitokea? Sijui mnafurahia nini kufanya vurugu na kuhatarisha amani ya nchi.Ninaamini kabisa Waislamu wa kweli hawawezi kufwata ujinga huu wa Ponda na sidhani kama Ponda ni Sheikh Msomi,asingekuwa anafanya mambo yasiyo na busara na kuzorotesha maendeleo katika...
Sumaye huyu huyu chini ya uongozi wa jirani yangu kule Lushoto,ndiye aliyebariki rushwa katika chaguzi akiita TAKRIMA,leo imekuwaje dhambi rushwa kumwangusha yeye? Ilikuwa takrima si rushwa!!!
Jambo zuri siku zote lazima lipongezwe.Alichofanya Nasari ni cha kusifiwa hata kama ni hatari kama unavyodai.
Kijana huyo alifunga roho akashuka shimoni hali akijuwa ni hatari miamba inaweza kuachia na kumfunika,lakini atayajuwaje matatizo ya wachimbaji kama hajaona kwa kuona na kugusa.
Ni...
Tupo kabisa.Kipindi cha kwenda Loliondo tulivuna pesa za watu wa Dar, Mbeya, Iringa na kwingineko. Magari yetu tulikodisha sana ila wengine hatukunywa dawa kwa kutokuwa na imani nayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.