Tusubiri ubunge wa mahakama wa msaliti zzk kwa vyovyote cdm haiwezi kukubali utumwa wa mahakama na wakala ccm ambao masaa yote wanacheza na akili za wanachama wa cdm.tusubiri mwisho wa hili
Zito zuberi kabwe ni maarufu lakini Hana faida kwa cdm huyu jamaa katuhujumu tangia uchaguzi wa 2010 hadi Leo anaendelea naomba chadema wakiuke amri ya mahakama wamfukuze uanachama
Kikao cha cdm na ajenda zake haizuiwa kilichozuiwa ni mjandala wowote kuhusu uanachama wake hata ordinary person ataelewa hili halihitaji kwenda shule ya sheria
Kumbuka kwamba kutomsimamisha mgombea nayo chama kina kosa umaarufu kwa hiyo ni bora kupoteza pesa lakini chama kinapata umaarufu na KIMSINGI hiyo ndiyo siasa yenyewe, ni kweli tuna hitaji chama kujenga chama vijjin lakini hiyo nayo inahitaji spill over effect that is why ni lazima tumweke...
Hayo ni yale yale ya wale walioshindwa kuvuliana magamba na bado itafika wakati waziri kagombana na dereva wake na ni hatari kusikia Maafiosa wa ngazi ya juu kiasi hicho kutoelewana kwa sababu ni rahisi hisia zao kutawala utendaji wao na hivyo shughuli nyingine zikaathiriwa na hisia zao,
Na...
Na bado nataka mshindwe kabisa kama mnavyoendelea kushindwa mambo mengi kwa sababu mliwekwa na tume ya uchaguzi siyo watanzania namini Mungu atatulipa CDM kwa hujuma mliyo tufanyia
Shida kubwa ya wanamagamba ilikuwa ni kwama hawakumwelewa Dk.Slaa, Kwa sababu Dk. Slaa alikuwa anasema mchakato uliomwaka kikwete Haukwa halali na hivyo yeye hautambui(siyo Raisi) na akafafanua zaidi kwenye vyombo habari kuhusu hilo lakini kwa sababtu wanamagamba hakuweka akili zao katika...
Absolutely the fact without evidence remain to be gosip but let as keep our mind positive because nchiyetu hain mweyewe it mighty be true because the said banks are currently investing around those national park and other area of such kind. let as wait because there is swahili saying that"...
Kabwe Zuberi Zitto hana madhara tena labda atolewe tena bungeni ndiyo atarudisha heshima yake na jinsi siasa inavyoenda baada hamadi ni yeye yatamkuta kwa sababu ya maneno yake na msimao wake usiozingatia maslahi ya chama na ni imani yangu ndani ya CDM wamemvumilia sana
Obsolent and awkward thinking has got no shame that is why your posting it but if could be you who has that mandate you couldn't say that. To deport politician and other famous persons like Dr.Slaa will put our country in hard time and the country couldn't be rulled as your thinking, Be serious...
Sijaona lolote jipya katika uteuzi wa rais.The big problem of our country is weak institutions an their working system and their setup in combination with their constitutional Mandate on which tume ya uchaguzi operate, we can have very good people but the system is not their best allies
Utendaji wa kupaa na uchumi wa utajiri wake? wakati watnzania wanahali Mbaya? Docta akiwaaambia watanzania wanaishii kwenye nyumba zinafanana na mbavu za mbwa mnasema dr anawakejili.Mwenzio huyo alikwupo tangia enzi za uhai wa mwalimu na akiwa n madaraka serikalini sasa utendaji upi we hausahau...
"Unpopular town planing led to Popular disaster" all what happen is purely naturally caused but the way we have responded to it is what make unhappy because mafuriko jana yaliua watu lakini bado suala la uharaka wakati wa majanga ndani ya nchi yetu imekuwa tatizo.Tumeweza,tumethubutu,tunasonga...
mkubwa ungetupa zaidi ni wapi huyu robert kisena alisoma shahada ya kwanza? au hakuendelea tena na shule baada ya kufukuzwa? ili pia tujue inawezekana kachakachua hadi shahada ya kwanza n katumia jina lingine kabisa kwa sababu nchi yetu in mifumo dhaifu ya kugundua wezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.