Heshima kwenu wakubwa!
Nahitaji kununua XBOX 360 controllers kama hautumii tena hata kama ni used, iwe tu inafanya kazi vizuri. Tafadhali nitumie ni-PM ahsanteni sana.
Shukrani!
1. Enemy at the gate
2.Mama
3.A walk to remember
4.Pursuit of happiness
5.Lone survivor
6.A walk in the cloud
7.The Shawshank redemptio
8.Invictus
9.The lord of the rings
10.Inceptio
11.Memento
12.The green mile
13.Argo
14.Stand by Me
I have seen a lot of good movies, lets end here for today.
HTC ONE imetumika miezi sita na iko katika hali nzuri , haina tatizo lolote. Ina kila kitu chake kwenye box kama inavyoonekana kwenye picha.
Bei ni 850,000/=
Anayeihitaji ni PM, Ahsanteni wote.
Wana JF heshima kwenu!!
Kwa wote mliotembelea uzi huu nawashukuru sana, hatimaye namshukuru mungu Nimeuza gari leo, japo sikubahatika kumuuzia mwanaJF.
ahsanteni na nashkuru kwa ushauri kwa waliotoa.
Thanks!1
@CYBERTEQ mkubwa ni kweli gari iko poa sana, na atakayeipata atakuwa amepata gari, Bei haijasimama kiongozi ndio maana nimeandika maongezi yapo.
Gari bado ipo kwa anayeihitaji.
Karibuni!!
Masanilo, siwezi kuchakachua kwani mimi sio mfanya biashara wa magari, nimenunua kwa matumizi yangu na nimepata gari nyingine hii sina kazi nayo ndio maana nauza.
Habari zenu !!
Nauza gari TOTYOTA CARINA TI kama maelezo yake hapa chini:
CAR: TOYOTA CARINA
YEAR: 1999
KM : 38400
Transmission: AUTO
Imetummika: TZ miezi mitano tu.
Insurance: Comprehensive, expire date November 2013
Motorvehicle license : expire date November 2013
BEI: 9 MILLION...
Heshima kwa wote!!
Nahitaji nyumba ya kupanga iwe vyumba viwili vya kulala, iwe na jiko na sitting room na iwe self ndani.
Maeneo: Magomeni, Moroco ya Alhassan mwinyi, Upanga, maeneo ya victoria na ya karibu na maeneo hayo
Kodi: Budget ni 250,000/= mpaka 300,000/= kwa mwezi ( kodi miezi...
Heshima zenu?
Kwanza kabisa mara nyingi HR Department za ibongo huwa wanaweka malengo na ni ngumu au hayana uhalisia ktk utekelezzaji na ndio ujanja ujanja unapoanzia, nina uzoefu mkubwa wanakuambia tareh 20 usaili wakati hata kufupisha orodha (shortlisting) hawajafanya/hawajamaliza.
Na kama...
Wakubwa heshima zenu , na wadogo marhaba.
Unajua huwezi kuwa Bepari "Capitalist" na muda huo huo ukawa mjamaa" Socialist" . Kutaka kuanzisha biashara ni ubepari mzuri tuu kwa kutaka kujilimbikizia mali na kufaidi maisha kwa vitu vizuri kuliko wengine, na Kuwaonea huruma wanafunzi na kuona...
Heshima zenu wana JF wote, na wadogo marhabaa!!!.
Yaani BID2015 unanichekesha SIFA ZOOOTE ZA MKE ANAZO LAKINI AHH! MPARE? Usinikumbushe maneno ya Mwalimu ( J.K Nyerere).
Muhimu kuangalia sifa na sio kabila, Karne ya 21 hii. Bado mmeng`ang`ania makabilaaa mpaka leo.
Nawasilisha Waungwana.:happy:
Heshima kwa wote!!
Kwanza kaka yangu pole sana kwa masaibu haya yaliyokukuta na wala usifkirie kwamba ulifanya makosa kwenye kuchagua, unajua wengi najua watakataa lakini katika ndoa watu ni rahisi sana kubadilika inaweza kwa mume au kwa mke.
Ushauri wangu kwako ni kwamba kama umejiridhisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.