Sema watu wa arushaa wanapenda sana sifa..
Nina rafiki zangu wakiweka status yaani ni kujisifia tuu arushaa arusha, alafu wao wapo dar..
Huu ni ushamba sana,
Hilo tukio kila wa arushaa kaliweka status.
Na kuna watu wa mbeya nao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wasukuma...
Chamwino moja..
Shule ya msingi chamwino A
Nimezurura sana vilabu vya pombe za kienyeji tupendane..
Modeko ndo njia kuu nikiwa narudi home lugalaaaa, navuka daraja la mahita naingia kwenye machimbo ya mchanga lugala.
Now nipo dar.
Nenda psssf COMMERCIAL complex mkabala na mlimani city kila mwisho wa mwezi kuna platform ya stand up comedy,
Ni sehemu nzuri sana ya kurefresh na ipo very smart
Mkuu, dar ndo collabo ya mikoa yote.
Sasa unaposema ukija dar unaulizwa unaondoka lini??..
Je aliyekuuliza hilo swali una uhakika asilimia100 ni mzaramo, au mzawa wa dar??
Watu wa dar ndo hao waliotokea mikoani wakiwa na hasira za maisha.
Ivi ushawahi kutana na mtu mwenye hasira za maisha mkuu...
Tokea nianze kusoma huu uzi nimejifunza sana.
Ila picha ya kwanza ndio nilivyoanza,
Na hiyo ya pili ndipo nilipo saivi.
Historia yangu ni ya siri kidogo.
Ila in short maisha baada ya chuo yasikie kwa jirani.
Hii ni kama kutengeneza mwisho mzuri
Mfano , wewe mwanafunzi unasoma ILI baadae uwe pailot, unaanza kujiona mbele ukiwa pailot.
Sasa kama unajiona mbele lazima changamoto zozote utazokutana nazo utapambana ili ufike mwisho mzuri, yaani uwe pailoti
Sasa kwa ishu ya kula nyama mwishoni, hii...
Post za jf bana zinaenda na upepo
Yaani kama umepost alafu mtu wa kwanza kakupinga basi ndo mwendelezo
Inshort jamaa wamemkataa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.