Mh, inasikitisha watu kuwa na mafundisho a ajabu, aliyewafundisha kwamba network business ni freemasons nae kiwango cha kumjua Mungu hakijapanda! as long as una uwezo wa kufanya utafiti kwenye net basi fanya utafiti wa network business ni nini. Hakuna kitu ambacho Shetani hajakiingilia, kuweni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.