kuna njia nyingi za kumridhisha mme sio lazima sex, wanawake wengi wanajisahau, simaanishi tigo pia lkn kuna njia unaweza kumsaidia mme na akafika kileleni bila kukuingilia
pole sana, nikisoma vitu kama hivi au kusikia story kama hizi hua sitamani kabisa kuolewa maana mimi huo uvumilivu nadhani sina. Why nibaki kuishi na mtu asiyenipenda??? No way, kuna kitu unaepushwa nacho hapo ni bora uanze maisha mapya. Unaweza kufa hata kwa stress na watoto ukawaacha na usijue...
hajiamini na kazi yake huyo, wa kwanza ndo nn kwan jaman, anaweza kuwa wa kwanza lkn wa sasa ndo anaweza migegedo kuliko wa kwanza, sasa unafuata nn kwa wakwanza.
ada ya udereva ni kiasi gani? Mie pia najisomesha elimu ya juu, nimepitia vikwazo vingi lkn Mungu ni mwema nilifanikiwa kufungua biashara na ndio inanilipia ada na matumizi yangu binafsi. Napenda kukusaidia japo kidogo, ni pm nijue ada ni kiasi gani na inalipwaje kama itakua ndogo nitakulipia...
biashara hua sio tu fulani akwambie nn ufanye lkwanza zingatia ujuzi, aina ya biashara yako na wateja wa biashara hiyo. milion 30 ni nyingi sana kama akili ikitulia
Masumin na hapo Hydery Plaza wanauza ghali sana , Nenda pale Veta Chang'ombe opposite
kuna duka linauza hizo copier machine na ni imara mimi nilinunua hapo na mashine ina miiaka miwili sasa na haijasumbua
habari wana JF, kama mnavyoona picha hapo juu gari inauzwa kwa Tshs Mil 20.
Make: Toyota
Year of Manufacture : 2000
Colour: White
Fuel used: Petrol
kwa yeyote anayehitaji ani PM ili aweze kuja kuiona.
Nawakilisha
ukitaka kuujua ukweli angalia the comedy show kipengele cha ndoa ndoano, yale wanayoigiza ni kweli yapo katika ndoa, sasa tunaona ni bora tujiweke pembeni tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.