Baada ya kupotea kwa muda mrefu nimerudi tena wapendwa wangu....nilikuwa mwana mpotevu,..lkn xaxa najua kuwa MUACHA ASILI MTUMWA!...niliwamisi xana ol da tym dat ckupost ki2 wala kutoa mchango wangu...lkn xaxa nimerudi tena kulijenga taifa langu la JAMIIFORUMS...i luv u ol!....:A S 12:
wape haoooooo....wala ucwakopeshe!wakimeza wakiteama hiyo ni shauri yaoooo...wanaboa,wanataka wote tufanane ama?...kama ni hivyo watengeneze websyt yao wenye mawazo sawa...
usisahau ule wa "mrembo na.8 ananichanganya..." na "kama wanipenda,nnunulie zeze,nikilala kitandani.." na mingine miiiiiiiingiiiiiiiii ya kumwaga ni wewe tu kukumbuka!....pamoja sana JF FAMILY....MSIKOSE TAMASHA HOTTEST ONE LITAKALOFANYIKA WET N WILD,DECEMBER HII,MIMI NTAKUA NAZINDUA ALBAMU...
SIO SIJATOKA MBALI YANI CKU HIZI NA HAYA MASOMO 11 NITAKUMBUKAJE ZOTE?HALAFU NKITAJA ZOTE NYIE MTAONGEZEA NINI?ONGEZA NDG,INAELEKEA WE UMETOKA MBALI EH?ENZI HIZO HIZI TRACK ZINATOKA MI NLIKUWA PRIMARY XCUL,WEWE JE?NAJUA ULIKUWA MAYB SEC CO?LKN NILICHOMAANISHA HAPO KTK WAT U QUOTED NI KUWA...
namkubali roma mkatoliki kamanda wa ukwee,kalla jeremiah akisema wimbo wa taifa,mwana fa akisema bado niponipo na prof jay akisema nikusaidieje.zaid ni zile nyimbo zilizokuwa zinanikosha roho enzi zangu za primary ukitaka kuzijua refer to the thread nlo anzisha inaitwa "MNAZIKUMBUKA TRACK HIZI?"
KWELI JAMII YA WATZ NI YA KUJENGA UPYA,wanasikia lkn hawaelewi,wanashuhudia lkn hawaoni...kizazi gani hiki?wanamapinduz wa kweli ndio wapo jikoni wanapikwa tayari kwa kuijenga nchi mpya...tym will tell
"Mtoto idi kazua balaa
mtoto idi kazua mikosi
kisa pamba kapandwa na kichaa
anahitaji kurekebishwa"
mb dog akikwambia latifa,"penzi la dhati lati mi ntaona aaaa
penzi la uzushi lati mi ntajua aaaaa
kumbuka dog man dog nakupenda
ukiniacha dog man nitakonda..."
ferooz akisema starehe,"hapa...
ni asubuhi njema naamka najiandaa kwa ajili ya masomo yangu ya kawaida...ni jumatatu nyingine ambapo nipo ktk mfungo kwa ajili ya vitu fulani vinavyo husu maisha yangu.sina hili wala lile...tukiwa assembly narudi hadi mwisho kabisa wa mstari na kuanza kuwapa hi masela viranja nikiwa...
ama kweli malipo duniani,akhera hesabu tu!...bt ctl i dnt think if tc a gud idea kumchoma m2 kiac kile,4 sure inatisha na kusikitisha...wachawi wengine wajifunze,im sure wauaji ni kati ya waume ambao wake zao walibakwa usiku kiuchawi...cha mtu mali....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.