Salam wakuu,
Kama Uzi wangu unavyojieleza hapo juu, nahitaji meza ya chakula (dining table) kwaajili ya nyumbani. Naomba kwa anayefahamu sehemu wanatengeneza meza hizo kwa gharama nafuu kwa hapa mkoani Dodoma aweze kunielekeza ili nikawaone. Budget yangu NI isizidi 1M (meza na viti sita)
Wakuu habari za mchana,
Hopefully wote tuko poa, tunaumiza vichwa jinsi ya kumpasua mhindi. Sasa kuna jambo moja limenigusa nimeona ngoja nilizungumze hapa. Nafkiri dhima kuu ya muanzilishi wa Uzi huu ilikua ni kushirikishana mawazo na maarifa mbalimbali katika kuweka mikeka ili tuweze kutoboa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.