Wakuu habari za mchana,
Hopefully wote tuko poa, tunaumiza vichwa jinsi ya kumpasua mhindi. Sasa kuna jambo moja limenigusa nimeona ngoja nilizungumze hapa. Nafkiri dhima kuu ya muanzilishi wa Uzi huu ilikua ni kushirikishana mawazo na maarifa mbalimbali katika kuweka mikeka ili tuweze kutoboa...
Mods acheni kufungia nyuzi za watu kienyeji. Nilipost picha ya professor Janabi anakula baga mkaifuta. Au kuna mtu ni ndugu yake kati yenu? Nikipunga nawe Punga!
Mi napendaga tu ushua wa Abby charms, life analoishi na washua wake hua natamani nije kufanikiwa ili wanangu Gian na Gianna wake waenjoy. insha'Allah [emoji2969][emoji2969][emoji120][emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.