Labda humjui vzr. Huyu mtu ni RC smart kuliko wote waliopo sasa. Age is just a number Kaka. Ally Hapi ni mdogo, utamfananisha kwa lipi na Kone? Ni usiku na mchana!
Sasa tunaelekea kumalizia mwaka huu wa 2016. wafuatao ndiyo bora zaidi kiutendaji " top 5" .... Hii ni kwa mtazamo wangu.
Mawaziri:
1. Mwigulu Nchemba
2. Nape Nnauye
3. Ummy Mwalimu
4. Mbarawa
5.Ndalichako
RCs
1. Mrisho Gambo.......Arusha
2. Paul Makonda.......Dar
3. Amos Makalla.......Mbeya...
Naangalia ITV mkutano wa Lowassa na wanawake wa Dat. Hawa wanawake Nadhani wamelewa viroba wanapiga ma kelele hawamsikililizi mgombea yamo ni vululu vululu!!!
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoni Tanga kimesema kuwa katika kuelekea uchaguzi mkuu wanamuunga mkono aliyekuwa Katibu Mkuu Dkt Wilbroad Slaa kwa kitendo chake cha kukaa pembeni kutokana na ujio wa Edward Lowassa na kupewa nafasi ya kuwania urais.
Sisi wanachama na viongozi wa...
na Ghisa Abby, Morogoro
KATIBU Mwenezi wa Wilaya ya Kilosa kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Raymond Mlama na mjumbe mmoja, Penford Chimola, wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.