Napenda nitoe maoni yangu hapa na tujadili
1.Tume zipitishwe na Bunge
2.Tume ya uchaguzi iteuliwe na Bunge kuepusha kupendelea chama fulani au kulinda watu fulani
3.Tume ya katiba iteuliwe na Bunge
4.Tume ya katika ifikirie kuwepo kwa wagombea binafsi kuanzia
Ngazi za mitaa
5.Viti maalum...
Ni mkutano muhimu sana kwani Mkuu wa nchi anatokea mkoa huo.Ndicho kioo cha kutazama watu wajitokeze kusikiliza na siyo ushabiki. Naombea amani mkutano huo MUNGU ibariki Tanzania
Wana JF naomba nijibiwe hili Swali kwa umakini na kuendelea kuilinda haka kaamani kalichobakia kuelekea Saa ya ukombozi.Nimekumbuka Kile kitabu cha things fall apart cha Marehemu Chinuo Achebe
Kauli zinazotolewa na viongozi kuepusha uvunjaji wa amani hazina hata tone la kumwogopa na kumwomba MUNGU atuepushe na yanayotokea. Yamejaa ubabe mtupu na hayana Uzalendo.Ningependa kusikia tuunde tume ya kurudisha amani ya nchi inayopotea Kila kukicha mifano hai ya amani kupotea:- Polisi...
Matokeo yote yanayonayotokea siyo ya kufurahisha kwa nchi yenye historia nzuri kama Tanzania. Tuungane kwa pamoja kulinda amani bila kujali itikadi ya chama,dini au kabila.Tuungane kwa pamoja kulaani maovu ya kigaidi na mauaji yanayotokea hapa Tanzania
Ee Mwenyezi MUNGU wape hao viongozi busara na hekima, kufanya maamuzi ambayo yataokoa zimwi hili linalokumba secta hii nyeti. Inayogusa Watanzania wote. Epusha vifo ambavyo vinaweza kuepukika.Mnaotajwa hebu muogopeni MUNGU na toeni uamuzi kuokoa uhai wa wenzetu kuanzia kesho. Enyi wakuu acheni...
Hapa kuna Madakitari wazuri san na Bingwa ukiwajali wana uwezo hata kuliko hao wahindi jamani hebu chonde chonde serikali waoneeni huruma wanosubiri kujifungua wiki hii. MUNGU waongoze viongozi na wanasiasa wlione hili kwa taifa letu.Farau alipigwa mapigo kutokana na moyo mgumu. Musa uko wapi...
Kwanza tuangalie eneo la ardhi yetu jinsi ya kuilinda tunawauzia watu wa nje hasa majirani zetu na watu kutoka Ulaya. Bila kuangalia mapanga na vita vitakapotokea wakati wa kuidai upya. Tusisingizie uwekezaji.Kwani kwao hakuna uwekezaji? kaulize ardhi kwao ndipo upate jibu. Ardhi ya Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.